Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu?? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais???

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma


Yaani CHADEMA ni kituko sana, Salum Mwalimu awe mgombea mwenza wa Tanzania.. Haaaa haaaa, inachekesha sana, yaani someone who has the lowest thinking ability, Form 4 certificate, tena div 4, almost div 0, akaenda journalism akapata certificate, with unknown lowest academic background, yaani senseless choice kabisa..

Kituko sana, ukiambiwa CHADEMA wana matatizo ya kufikiri mnakataa, yaani kweli Salum ni mgombea mwenza, watabakia kuusikia urais kwenye TV tu hawa. Watu wana mzaha sana, ujue tunaongelea Mgombe mwenza wa Urais Tanzania, alafu CHADEMA wanachagua kibuyu hovyo kabisa, aibu tupu, yaani.. 🤔
 
Hata mimi niliwaza sana jana kuona mwaliu akisaini fomu pale tume, nikawaza hivi hawa wako serious na nchi kweli, yaani uwakabidhi nchi watu ambao akiri zao wote hazieleweki?..
Hii comment iko sawa kabisa, Chadema hawakuwa na haja ya kutafuta VP maana wanajua wanatafuta wabunge tu. Kama wangekuwa na nafasi ya kushinda urais Mbowe asingemwachia mtu yeyote agombee ila yeye tu.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Wewe unataka kiongozi mwenye nini, je unaangalia umbo la mwili, madegree mengi yakukariri au uwezo wa akili?.Ungekua na uwezo mzuri wakufikiri ungejua kazi ya kiongozi ni kuonyesha njia na ilo anaweza kulifanya binadamu yoyote endapo atapata miongozo.Wewe inaonekana unapenda kuabudu watu badala ya mifumo bora na haujiulizi hao ambao wameongoza ukaridhika nao kuna jambo gani jipya wamelifanya ambalo wengine hawawezi kulifanya.

Ziko nafasi zakiuongozi ambazo zinataka mtu aliyezaliwa kua kiongozi lakini sio hizi zakisiasa japo mtu akiwa nasifa hiyo kisha akawa kiongozi wakisiasa anakua kiongozi bora zaidi.Mimi naamini mtu yoyote anaweza kua kiongozi mradi afwate misingi, kanuni na taratibu zilizoko kumwongoza ili aongoze.
 
Yaani CHADEMA ni kituko sana, Salum Mwalimu awe mgombea mwenza wa Tanzania.. Haaaa haaaa, inachekesha sana, yaani someone who has the lowest thinking ability, Form 4 certificate, tena div 4, almost div 0, akaenda journalism akapata certificate, with unknown lowest academic background, yaani senseless choice kabisa.. Kituko sana, ukiambiwa CHADEMA wana matatizo ya kufikiri mnakataa, yaani kweli Salum ni mgombea mwenza, watabakia kuusikia urais kwenye TV tu hawa. Watu wana mzaha sana, ujue tunaongelea Mgombe mwenza wa Urais Tanzania, alafu CHADEMA wanachagua kibuyu hovyo kabisa, aibu tupu, yaani.. [emoji848]
Watanzania wote ni sawa.Na isitoshe hebu niambie wewe kwa akili zako hao ambao wana madegree sita sita wamefanya kipi kikubwa ambacho hakijafanywa na viongozi wengine walioongoza bila kua na vyeti na madarasa mengi.
 
Hivi jaribu kuwa mkweli wa Roho yako, Mwalimu anayegombea na John wenu aliye kwenye kiti kikuu waweza kuwaweka meza moja ya mjadala wa uelewa wa mambo?
Au wewe unazungumzia vipimo vya ukubwa wa kitambi?
Acheni kujidhalilisha na hoja kama hizi za kijinga. Mwalimu is the right person kwa wakati tulio nao.
Tatizi kubwa la CHADEMA ndio hilo. Kusifia kila aina ya takataka.

Acha kumfananisha JPM na vitu vya hovyo tafadhali.

Note: Mwalimu mmechemka vibaya sana. Ukiachana na mengine yote, hana taswira ya kiuongozi. Hana kabisa!
 
Watanzania wote ni sawa.Na isitoshe hebu niambie wewe kwa akili zako hao ambao wana madegree sita sita wamefanya kipi kikubwa ambacho hakijafanywa na viongozi wengine walioongoza bila kua na vyeti na madarasa mengi.
Kwahiyo unataka kujaribu kuhalalisha Taifa letu liongozwe na wajinga? Ndio mawazo yako hayo!?
 
Tatizi kubwa la CHADEMA ndio hilo. Kusifia kila aina ya takataka.

Acha kumfananisha JPM na vitu vya hovyo tafadhali.

Note: Mwalimu mmechemka vibaya sana. Ukiachana na mengine yote, hana taswira ya kiuongozi. Hana kabisa!
Utawezaje kuelewa wakati wewe mwenyewe huna exposure yyte ya mambo zaidi ya ushabiki maandazi.
 
Kama elimu anayo basi anastaili,aligombea Jecha uraisi sembuse Salimu Mwalimu,acheni majungu watanzania
 
Kwani hicho cheo cha makamu sifa zake zikoje uko kwenye katiba. katiba inasema anatakiwa awe na degree ngapi na awe kasoma university ngapi?.Ndugu kama huna uwezo wakuongoza ata usome madarasa yote duniani wala haitakusaidia.
Ukweli ni huo kuwa ni mgombea wa Chadema, lakini hauondoi mapungufu ya Mwalimu na uwezo wake mdogo alio nao wa kuongoza nchi yetu na sio nchi ya Chadema...
 
Kwahiyo unataka kujaribu kuhalalisha Taifa letu liongozwe na wajinga? Ndio mawazo yako hayo!?
Wajinga kivip.Nenda kasome katiba uone sifa za mtu kua kiongozi nchi hii zikoje.Hizo nyingine ni sifa za ziada ila sifa za msingi kwa mujibu wa katiba zipo.
 
hivi kina Molemo huyu ndiye mgombea mwenza mtakayempambanisha na Mama wetu mpendwa Samia?
Age is just a number angalieni uwezo!! Tatizo la mataga wana wana is vijana hawataki kuwapa nafasi za uongozi; wenzenu wanaonesha mfano kuwa vijana wanaweza.
 
Watanzania wote ni sawa.Na isitoshe hebu niambie wewe kwa akili zako hao ambao wana madegree sita sita wamefanya kipi kikubwa ambacho hakijafanywa na viongozi wengine walioongoza bila kua na vyeti na madarasa mengi.

That is a dead mind reasoning, go back and rethink again and again, kiakili watanzania wote sio sawa na binadamu wote sio sawa, usawa haupo, na Mungu hajaumba binadamu wote wawe sawa katika akili zao, hapa tunaongelea akili, kwa hiyo mtanzania kichaa nae ni sawa na wengine au Form 4 certificate ya Salum ni sawa na IQ ya mtu wa First Class UD, Masters, PhD, Usawa ktk brain haupo, na tunaongozwa na brain power, pia kuongoza watu vema is all about brain power, na kipimo kizuri ni shule hakuna kipimo zaidi ya hicho kwa sasa..

So kiakili binadamu wote sio sawa, acha ujinga plz.. Binadamu wote ni sawa in biological similarities & social needs tu, ila sio akili ambayo tunategemea kuongoza maisha yetu na watu wengine.. Ujue vema usawa upi unaongelea.. Acha ujinga plz, ujinga ni utumwa.. Umeelewa? Usikute uko katikati ya confusion ww, wala hujui usawa upi unaongelea..
 
Mbowe anaendesha chama kifamilia kwake ‘Salum Mwalimu’ ni kama mtoto watoto (noted) wake wa kufikia.

Binafsi uwa naona uhusiano wa Mbowe na Mwalimu ni kama wa baba na mwana tu.
 
Wala isihangaike na hao wajuaji,
Majibu wanayo wanasubiri kusema wameibiwa kura tu.
October majibu kwao ni magumu kuliko 2015.
Tatizi kubwa la CHADEMA ndio hilo. Kusifia kila aina ya takataka.

Acha kumfananisha JPM na vitu vya hovyo tafadhali.

Note: Mwalimu mmechemka vibaya sana. Ukiachana na mengine yote, hana taswira ya kiuongozi. Hana kabisa!
 
Back
Top Bottom