Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Vijana wengi humu JF mnaleta mada kama za udaku vile, mnashindwa kuchambua kwa nini unataka kutuonyesha kwanini mgombea mwanza wa cdm hafai!
huu ni msimu wa siasa hivyo tegemea kupata mambo mbali mbali,msimu ukiisha chambuzi zitaendelea,.
 
sawa ila ni bahati mbaya pata nafasi kama iyo , kwa sasa mwalim sio saizi yet tena mkuu na kwa mjibu wa katiba yubo chini ya ulinzi mahalum japo chadema ni watu simple sana hawataki makuu but ukweli ndo huo

Ukweli ni huo kuwa ni mgombea wa Chadema, lakini hauondoi mapungufu ya Mwalimu na uwezo wake mdogo alio nao wa kuongoza nchi yetu na sio nchi ya Chadema.
Na upungufu huu unatuhusu nchi nzima kwa kuwa haendi kuongoza nchi ya Chadema mliompenda, mke wake na watoto wake. anaomba kuongoza nchi ambayo mimi na wewe tumeweka matumaini ya maendeleo na vizazi vyetu vijavyo.

Nyinyi Chadema mmezoea Mwenyekiti Mbowe -form six failure, katibu mkuu Myika - college drop out, Naibu katibu mkuu yule jamaa wa Iringa -form iv, Naibu katibu mkuu -m Mwalimu Cheti. Sasa msilazimize mapungufu haya tuyakubali wananchi wote.

Lazima tujiongeze tupunguze mapenzi kwa kuendekeza ujinga wenu ambao nyinyi mmeukubali.
 
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
Hivi jaribu kuwa mkweli wa Roho yako, Mwalimu anayegombea na John wenu aliye kwenye kiti kikuu waweza kuwaweka meza moja ya mjadala wa uelewa wa mambo?
Au wewe unazungumzia vipimo vya ukubwa wa kitambi?
Acheni kujidhalilisha na hoja kama hizi za kijinga. Mwalimu is the right person kwa wakati tulio nao.
 
kuliko hata mbowe na sugu na lema

Diploma ya Uandishi Habali ya Ilala Shamba kwenu nyinyi ndio elimu kubwa? acheni mizaha na nchi yetu. Mmechagua Chadema kama Naibu Katibu Mkuu inamtosha. Kwa sababu anaelimu kubwa kuliko Mbowe, Myika na yule mtu wa Iringa basi inakuwa anaelimu kubwa? acheni mizaha.
 
Ndio hushawishiki nacho Ila wanawake wengi ni mtaji wa CCM na wanatumia kila njia kuwa win kiurahisi na kuleta balance, Sasa usipojiongeza mtabaki kulia mnaibiwa, hata bidhaa kabla ya kutengenezwa huangalia demand na Sina ya wateja
Mtaji mkubwa wa ccm ni wajinga.
 
Ukweli ni huo kuwa ni mgombea wa Chadema, lakini hauondoi mapungufu ya Mwalimu na uwezo wake mdogo alio nao wa kuongoza nchi yetu na sio nchi ya Chadema.
Na upungufu huu unatuhusu nchi nzima kwa kuwa haendi kuongoza nchi ya Chadema mliompenda, mke wake na watoto wake. anaomba kuongoza nchi ambayo mimi na wewe tumeweka matumaini ya maendeleo na vizazi vyetu vijavyo.

Nyinyi Chadema mmezoea Mwenyekiti Mbowe -form six failure, katibu mkuu Myika - college drop out, Naibu katibu mkuu yule jamaa wa Iringa -form iv, Naibu katibu mkuu -m Mwalimu Cheti. Sasa msilazimize mapungufu haya tuyakubali wananchi wote.

Lazima tujiongeze tupunguze mapenzi kwa kuendekeza ujinga wenu ambao nyinyi mmeukubali.
Hivi ni kweli kwamba hata huyu Makamu wetu aliyepo nae alifeli form four ingawa baadae aliweza kujiendeleza?
 
Ulitaka awe mamluki wa fisiemu? Huyo atosha sana tena sana alie juu yake ni mwamba wa kati !! Wanatosha kutuvusha wengine miaka 5 hivi lwamehifunzia humo humo kina lipi wamefanya zaidi kuua watu?
 
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
ikiwa kina Msukuma na kibajaji hushangiliwa na kuonekana wa maana sana na wenye ushauri wenye weledi iweje SM awe kioja kwenu?
 
LISUU NI DALALI WA MABEBERU,,, DALALI WA ACACIA
 
ikiwa kina Msukuma na kibajaji hushangiliwa na kuonekana wa maana sana na wenye ushauri wenye weledi iweje SM awe kioja kwenu?
Kina Msukuma na Kibajaji wamepitishwa kugombea Urais?
 
Back
Top Bottom