Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Mimi bknafsi sishawishiki na kitu kwa sababu kinapendwa na wanawake.

Hence ulichokisema kinabaki kuwa mtazamo wako binafsi
Ndio hushawishiki nacho Ila wanawake wengi ni mtaji wa CCM na wanatumia kila njia kuwa win kiurahisi na kuleta balance, Sasa usipojiongeza mtabaki kulia mnaibiwa, hata bidhaa kabla ya kutengenezwa huangalia demand na Sina ya wateja
 
Kuna sehemu chadema wamekosea hata Mimi nimeona! Jamani mwenye CV ya salum mwalimu aidondoshe hapa tuione! Maana chadema tunaona kama wanatania taasisi ya uraisi!
 
Gender balance muhimu na ingeleta balance na kuaminiwa hata wanawake ambao ni wapiga kura wengi. Unajua maana ya equal representation kweli?
Hyo gender balance inasaidia mini kwa Samia hassani? Muda wote jpm anadhalilisha wanawake na watoto wa kike
 
Ndio hushawishiki nacho Ila wanawake wengi ni mtaji wa CCM na wanatumia kila njia kuwa win kiurahisi na kuleta balance, Sasa usipojiongeza mtabaki kulia mnaibiwa, hata bidhaa kabla ya kutengenezwa huangalia demand na Sina ya wateja
Balance IPI? Zaidi ya kauli za kejeli kama nitapiga mpaka mashangazi zake.Kumbuka ile kauli ya jpm kwa majaliwa
 
..mbona Abeid Amani Karume alikuwa?

..Salum Mwalimu ana elimu kumzidi Abeid Amani Karume[r.i.p].
Wakati ule siyo huu. Wewe una matatizo ya kufikiri.
Kisoki alikuwa mkuu wa mkoa hajui kusoma wala kuandika. Lakini wakati ule siyo sasa. Tuna wasomi kibao. Anaweza hata kufanya speech mbele za watu ikaeleweka. Anaweza kumwakilisha raisi effectively?
Form iv aliefeli awe makamu wa rais? Huu ni utani.
 
Naunga mkono hoja kwa kweli chadema kwa hili wameenda wrong way nikama wamesusia chama vile
 
Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Mkuu kama huna taarifa sahihi basi bora unyamaze. Hujui elimu ya Salum mwalimu wala uwezo wake achana na hizo habari za kusikia sikia mtaani. Unaweza kumsemea lingine ila sio mipango cha elimu yake
Huyu jamaa alikua vizuri sana kwenye zile siasa za chuo akiwa undergraduate
CC jingalao
 
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?


Ulitaka achaguliwe Makonda aka Bashite ??? Sorry bado hajajiunga na Chadema
 
SALUM MWALIMU ni bora mara kumi kuliko Mama Samia Hassan, Muhamed Billali, Abdul Jumbe, Omar Juma, Rashidi Kawawa and Abedi Karume combined.
 
Wanafanya mzaha na ni kweli. Si tu mgombea mwenza bali hata mgombea mwenyewe. Posture inasema wazi hakuna kiongozi wa Nchi. Ukiachilia mbali hana cha kutuonyesha chochote alichofanikisha zaidi ya kutafuta huruma.
 
Mathayo : Mlango 12
34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
 
Back
Top Bottom