Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mfano mdogo tu, Samia ana kazi gani haswa anayofanyaWewe ni nani kumu under rate binadamu mwenzio? So what si umpambe mgombea mwenza wa chama chako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mdogo tu, Samia ana kazi gani haswa anayofanyaWewe ni nani kumu under rate binadamu mwenzio? So what si umpambe mgombea mwenza wa chama chako?
Ndio hushawishiki nacho Ila wanawake wengi ni mtaji wa CCM na wanatumia kila njia kuwa win kiurahisi na kuleta balance, Sasa usipojiongeza mtabaki kulia mnaibiwa, hata bidhaa kabla ya kutengenezwa huangalia demand na Sina ya watejaMimi bknafsi sishawishiki na kitu kwa sababu kinapendwa na wanawake.
Hence ulichokisema kinabaki kuwa mtazamo wako binafsi
Anataka aone tumbotumboWewe ulitaka uone jitu lenye kitambi kikubwa ndio uone anafaa kuwa makamu wa rais? Au unataka uone vikongwe?
Kubadilisha mavazi tu kila linapotokea suala la kuonekana kwenye TBC 1Mfano mdogo tu, Samia ana kazi gani haswa anayofanya
..anatosha.
..ana elimu kuliko Edward Sokoine, au Rashid Kawawa.
Hyo gender balance inasaidia mini kwa Samia hassani? Muda wote jpm anadhalilisha wanawake na watoto wa kikeGender balance muhimu na ingeleta balance na kuaminiwa hata wanawake ambao ni wapiga kura wengi. Unajua maana ya equal representation kweli?
Balance IPI? Zaidi ya kauli za kejeli kama nitapiga mpaka mashangazi zake.Kumbuka ile kauli ya jpm kwa majaliwaNdio hushawishiki nacho Ila wanawake wengi ni mtaji wa CCM na wanatumia kila njia kuwa win kiurahisi na kuleta balance, Sasa usipojiongeza mtabaki kulia mnaibiwa, hata bidhaa kabla ya kutengenezwa huangalia demand na Sina ya wateja
Wakati ule siyo huu. Wewe una matatizo ya kufikiri...mbona Abeid Amani Karume alikuwa?
..Salum Mwalimu ana elimu kumzidi Abeid Amani Karume[r.i.p].
Mkuu kama huna taarifa sahihi basi bora unyamaze. Hujui elimu ya Salum mwalimu wala uwezo wake achana na hizo habari za kusikia sikia mtaani. Unaweza kumsemea lingine ila sio mipango cha elimu yakeWatu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?