Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Lissu pamoja na Mwalimu ni mzaha kwenye urais. Afadhali ya Mzee Hashim Rungwe!
 
Chadema hawajawahi kuwa serious na Mambo ya watanzania
Wamemteua mwalimu Kama Bora liende tu kwa kuwa wanajua hawatopita
Mwalimu anatuhuma za kuuza viti maalum kwa milioni 20 na bao mbili mbili,hizi tuhuma ziliwasilishwa kamati kuu na Peter Msigwa na Sugu
 
Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Mwalimu ana degree,
Masters bado hajamaliza Research.
 
Ha ha haa... aisee hii kitu sijawahi kuwaza kabisa. Kwa kweli hiki ni kituko.
 
Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Mwalimu alisoma IFM na alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi pale acheni kupotosha na kuwasemea uongo watu.Hivi naibu rais aliyepita bwana Daud Albert Bashite Malyangiri a k a DAB ,mwenye mkoa wake ana elimu gani?
 
Vijana wengi humu JF mnaleta mada kama za udaku vile, mnashindwa kuchambua kwa nini unataka kutuonyesha kwanini mgombea mwanza wa cdm hafai!
 
Hawana watu upande wa Zanzibar inabidi wamchukue huyo garasa. Haina jinsi
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu?? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais???

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Hata mimi niliwaza sana jana kuona mwaliu akisaini fomu pale tume, nikawaza hivi hawa wako serious na nchi kweli, yaani uwakabidhi nchi watu ambao akiri zao wote hazieleweki?
Ni bora wangetafuta mtu mzima mwenye busara hata awe anamfunga gavana raisi wao.
Chadema hawako tayari kwenye uraisi ila wamejipanga kuvuruga uchaguzi pamoja na nchi.
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu?? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais???

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Mkuu ondokana na haya mawazo mgando.

Ukiangalia viongozi waliotuongoza kutoka uhuru hadi sasa walio wengi ni wa uwezo wa kawaida tu.

Nakuhakikishia hata wewe tukikupea unaweza vizuri tu.

Raisi amezungukwa na wasaidizi na washauri tele hao ndo wanapambana kumletea kila vitu mezani, yeye anabaki kuwa mwamuzi wa kipi kifanyike kipi kiachwe na hakuna wa kumhoji kwanini kafanya hiki na sio kile.

Ukiangalia nchi nyingi hata hapa afrika nyingi zinaachana na vibabu.
 
Back
Top Bottom