Mkuu huyo ni mashine nyingine ,huyo ni kama wakina kiduku wa korea kaskazin huyo muache alivyo na uzuri nimesoma na wazanzibar nawamisi sana na ni watu wajitambua sana na nishupavu , niseme tz tuna viongozi wengi tu na mwalim na mgombea mwenaza yuko safi hongera chadema maana tumezoea kwamba umri ndo uongonzi but uongozi huzaliwa katika dam thats hata mwl nyerere hakua na elim kubwa kulioko wakolon but waliisoma namber , mwalim ni kiongonzi hata speach yake imeshiba so kwa combination na lissu iko sawa , utamuelewa tu ngoja kampe ziaanze lasmi , nimemkubali sana na kama humkubali basi una ajenda za siri toka moyoni mwako