Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wewe mchague Magufuli
Mgombea mwenza wa Chadema anakuhusu nini?
Mgombea mwenza wa Chadema anakuhusu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BoraCDM wangeniomba niwe mgombea mwenza ningewakubalia.mkuu huyo ni mashine nyingine ,huyo ni kama wakina kiduku wa korea kaskazin huyo muache alivyo na uzuri nimesoma na wazanzibar nawamisi sana na ni watu wajitambua sana na nishupavu , niseme tz tuna viongozi wengi tu na mwalim na mgombea mwenaza yuko safi hongera chadema maana tumezoea kwamba umri ndo uongonzi but uongozi huzaliwa katika dam thats hata mwl nyerere hakua na elim kubwa kulioko wakolon but waliisoma namber , mwalim ni kiongonzi hata speach yake imeshiba so kwa combination na lissu iko sawa , utamuelewa tu ngoja kampe ziaanze lasmi , nimemkubali sana na kama humkubali basi una ajenda za siri toka moyoni mwako
Uongozi sio suala la gender. Ni suala la uwezo.CDM walishindwa kubalance hata gender
sawa ila ni bahati mbaya pata nafasi kama iyo , kwa sasa mwalim sio saizi yet tena mkuu na kwa mjibu wa katiba yubo chini ya ulinzi mahalum japo chadema ni watu simple sana hawataki makuu but ukweli ndo huoBoraCDM wangeniomba niwe mgombea mwenza ningewakubalia.
mimi ni mtumbatu!
Hata Hashim Rungwe hupata ulinzisawa ila ni bahati mbaya pata nafasi kama iyo , kwa sasa mwalim sio saizi yet tena mkuu na kwa mjibu wa katiba yubo chini ya ulinzi mahalum japo chadema ni watu simple sana hawataki makuu but ukweli ndo huo
Sawa, kumbe ruksa msemaji kuwa mtu wa hovyo hovyo tu? OkTunaongelea URAIS mkuu sio usemaji au wenezi wa Chama
sawa mkuu, mkuu ila elewa upo ulinzi wa kikatiba na wakawaida ambao hata mimi au wewe ukitaka unapata tu , ila wa mwalim kwa sasa ni wakikatiba sasa kama wakataa amsha mkono kama wajikuna kichwani nikuone na bahada ya apo waulize wazee waliokuzunguka then leta majibu mkuuHata Hashim Rungwe hupata ulinzi
Gender balance muhimu na ingeleta balance na kuaminiwa hata wanawake ambao ni wapiga kura wengi. Unajua maana ya equal representation kweli?Uongozi sio suala la gender. Ni suala la uwezo.
Kama mwaname ameonekana anaweza atapewa nafasi and vice versa
Ficheni ujinga wenu.
Mbona Kuna wanawake wengi wenye uwezo kuliko wanaume hata kukimbia chama wanaume ndio walikuwa waogalUongozi sio suala la gender. Ni suala la uwezo.
Kama mwaname ameonekana anaweza atapewa nafasi and vice versa
Ficheni ujinga wenu.
So 2015 ulimchagua magufuli kwa sababu tu mgombea mwenza wake alikuwa yule mama ?Gender balance muhimu na ingeleta balance na kuaminiwa hata wanawake ambao ni wapiga kura wengi. Unajua maana ya equal representation kweli?
Walikuwa waoga au walikuwa na tamaa zao ?Mbona Kuna wanawake wengi wenye uwezo kuliko wanaume hata kukimbia chama wanaume ndio walikuwa waogal
Hata sikumchagua magufuli 2015So 2015 ulimchagua magufuli kwa sababu tu mgombea mwenza wake alikuwa yule mama ?
Hawajiamini ukitaka upate follower's lazima uungwe mkono na wanawake bila hivo unapata tabu sanaWalikuwa waoga au walikuwa na tamaa zao ?
Mimi bknafsi sishawishiki na kitu kwa sababu kinapendwa na wanawake.Hawajiamini ukitaka upate follower's lazima uungwe mkono na wanawake bila hivo unapata tabu sana