We unatakaje kwa mfano?Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Kama kina jaffo ni mawaziri,kingwangala mwalimu anashindwaje weee ni kizibo kwelikweliEti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
Salim ahamed alishika madaraka akiwa na umri ganiWatu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali.
Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza.
Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Kwanza D na baba yake hawajambo lakini?
Mijinga pekee inayodhani mgombea mwenza ni lazima awe mzee mwenye kitambi au mwanamke aliyegonga kwenye menopozi...
Diploma ya kiswahiliKwani hata Alhaji Mwinyi amekuwa Rais kwa miaka 10 kwa elimu ipi ya darasani?
Kwa kifupi hujaona alivyonitusi? Kwanini hujamkanya aliyeanzisha matusi kama kweli wewe ni mtenda haki?Mheshimiwa kabisa, kwani lazima utukane ndio unachotaka kusema kitamfikia muhusika? Tuhakikishe JF inakuwa bora na yenye kuheshimika. Tutoe maoni yetu tuu na sio matusi.
Kwa kifupi hujaona alivyonitusi? Kwanini hujamkanya aliyeanzisha matusi kama kweli wewe ni mtenda haki?
Au mkuki kwa nguruwe mtamu?
Wangekuwa wako siriasi kweli Mbowe angemwachia Lissu kugombea? Si uliona nafasi ya M/kiti ilivyolindwa? Hapo kasukumiwa mkimbizi kwa kujua kwamba hana nafasi ya kupata ubunge. Wako kimaslahi zaidiHivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Wewe elimu yako ikoje bwana.Kama Magufuli anaweza kuwa rais kwa nini Mwalimu asiwe makamu? Magufuli hata ufahamu wake wa mambo ya kawaida unaonyesha elimu yake alisoma kwa kukariri.
Sokoine baada ya kimaliza kusoma UMBWE alienda Ujerumani kusoma PA, Kawawa alisoma na Nyerere Tabora boys.Anatosha.
Ana elimu kuliko Edward Sokoine, au Rashid Kawawa.
Sio kumkimbiza tu.... namuua kabisa.Kichaa akikimbia na nguo zako wakati unaoga mtoni, jee utaamua kumkimbiza?
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Unamuulizia Mume wa Mtu unataka nini wewe mwanamke?yu wapi Salumu Mwalimu?
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?