Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Halafu Deo Mwanyika mkampa agombee ubungeLISUU NI DALALI WA MABEBERU,,, DALALI WA ACACIA
Sawa kabisa urais na umakamu wa rais sio sawa na kubebe zege..Ofisi ya Makamu wa Raisi inahusisha wizara za Mazingira, na wizara ya Masuala ya Muungano.
..mimi nina imani Salum Mwalimu ana uwezo wa kuyamudu majukumu hayo.
Acheni mzaha Kwa gani ni mzanzibar....acheni utopolo nyinyi vibaraka uchwara.Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Amefanya yapi ya kutupeleka puta?Mama anawapeleka puta
Basing on my own analysis hapa Chadema waliingia choo kibovuwhy do you underestimate the capabilities of salum mwalimu. Chadema has made that decision. Young people are given.the opportunities to prove themselves. Salim.Mwalimu unaweza
Ente...Enterpinyush... arrgh hiyo hiyo.Kama Magufuli anaweza kuwa rais kwa nini Mwalimu asiwe makamu? Magufuli hata ufahamu wake wa mambo ya kawaida unaonyesha elimu yake alisoma kwa kukariri.
Mwisho mlisema tayari,after miaka mitano ya kampeni zenu,time hii mmeanza ku suffer kama hamkuwa madarakani.Wote liability. Saccos hawana mtu unayeweza thubutu kumuita kiongozi, wote wachumia tumbo tu. Chama cha mfukoni, mwisho wenu umefika..
Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali.
Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza.
Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Kwani mama Samia anatoshaje?Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Kwani Samia ana uzito gani wa kumzidi Mwalimu!?Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Unataka mpaka awe mzee ndo uone kama amefit. Akili mgando sana. Nilutegemea useme hawezi jenga hoja. Au hana uwezo wa uongozi.Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma