Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiingereza kibovuuu, grammatical errors kibao, ...
Hiyo ndio mbinu pekee iliyobaki kwa viongozi washambaCCM Mpya hawana haya kuwashambulia wanawake! Kweli chama kongwe sasa kinakata pumzi. Kwaheri CCM, Kwaheri Magufuli.
Karibu CHADEMA , Karibu Tundu Lissu na Maalim Seif
Kiingereza ndiyo kimemkamata ?!. Ukikosa hoja si unyamaze !. Wafuasi wa u dictator mnakeraKiingereza kibovuuu, grammatical errors kibao, ...
Zanzibar leo wamechezea mabomu ya machozi kisawasawa, Geita mgombea ubunge Upendo Peneza kawekwa kizuizini. Simu za mkononi marufuku kutuma SMS zenye neno "LISSU".
Ila hakuna chombo cha habari utasikia kinatoa hizi taarifa.
Tunahesabu masaa 72 tu, Rais Lissu atangazwe ili huu upumbavu ufikie kikomo. Bora kutawaliwa na "MABEBERU" kuliko hawa "MAKSAI WALIO HASIWA". CCM wakilazimisha ushindi basi dunia nzima itatoa tamko moja #HATUMTAMBUI RAIS WA TANZANIA#
Huu ni uongo mm nakaa karbu penez mbona yuapo tu
Tatizo chadema mmetepeta sana liamsheni dude kabla ya uchaguzi