Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Maana yake ametamalaki!.Hivi nyuzi za huyu dada mbona zimetamalaki jukwaani kuna nini!?
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake ametamalaki!.Hivi nyuzi za huyu dada mbona zimetamalaki jukwaani kuna nini!?
Rais Lisu kaenda kutangazwa ubelgijiZanzibar leo wamechezea mabomu ya machozi kisawasawa, Geita mgombea ubunge Upendo Peneza kawekwa kizuizini. Simu za mkononi marufuku kutuma SMS zenye neno "LISSU".
Ila hakuna chombo cha habari utasikia kinatoa hizi taarifa.
Tunahesabu masaa 72 tu, Rais Lissu atangazwe ili huu upumbavu ufikie kikomo. Bora kutawaliwa na "MABEBERU" kuliko hawa "MAKSAI WALIO HASIWA". CCM wakilazimisha ushindi basi dunia nzima itatoa tamko moja #HATUMTAMBUI RAIS WA TANZANIA#
Sasa basis, sasa basi. Ukiambiwa uandamane, hujitokezi! Pumbavu!!!Magufuli tumechoka na huu upumbavu wenu, sasa basi.
Mkuu Paskali msiwasahau wale ambao mtawateua kama ulivyosema hapo awali "for strategic purposes. Especially puppets.Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P
Mayala naomba kawashaur ccm walete maemdeleo Zaid achna nass kbsa yanNyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P
Kama unaumia kuwakosa bungeni zile kelele za nileteeni rashidiiiii mlikuwa mnazitoa zanini,bora kukaa kimya kuficha ujinga wako,ww ni mtu mzima lakini akili umekosa sikufichi.Mlitaka bunge la kijani mmepewa bado mnalia au mnahitaji na wanawake wa CHADEMA muwaambukize na UKIMWI.?Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P