Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Halafu unashabikia u dictator !!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu unashabikia u dictator !!.
Hongera sana P
unabebwa sana ukumbuke kuangalia MBELEKO YAKO...Kiingereza kibovuuu, grammatical errors kibao, ...
Ngg ambo....Hongera sana P
Salute mingi sana....Zanzibar leo wamechezea mabomu ya machozi kisawasawa, Geita mgombea ubunge Upendo Peneza kawekwa kizuizini. Simu za mkononi marufuku kutuma SMS zenye neno "LISSU".
Ila hakuna chombo cha habari utasikia kinatoa hizi taarifa.
Tunahesabu masaa 72 tu, Rais Lissu atangazwe ili huu upumbavu ufikie kikomo. Bora kutawaliwa na "MABEBERU" kuliko hawa "MAKSAI WALIO HASIWA". CCM wakilazimisha ushindi basi dunia nzima itatoa tamko moja #HATUMTAMBUI RAIS WA TANZANIA#
Salute mingi sana....
CCM ya sasa imejaa washamba watupu ndiyo maana inawatumia Polisiccm kuwanyanyasa wapinzani kwa njia haramu za kishetani
Polisiccm majarada yao yapo tayari kule ICC mara baada ya uchaguzi mkuu watafikishwa ICC The Hague haraka sana
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?Chadema acheni vurugu
ICC The Hague mara baada ya uchaguzi watawakamata OCD RPC Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo kuwaonea kuwabambikia kesi kuwaonea wapinzaniNa Dunia yote imeona ....kuna mtu atapelekwa Burundi...
Mkuu General ...diipdaiva WAMESHA TUAICC The Hague mara baada ya uchaguzi watawakamata OCD RPC Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo kuwaonea kuwabambikia kesi kuwaonea wapinzani
Mkuu mkamateni sloodauni na Msudani ...WAMEWAUZA ..na kuharibu TAIFAChadema acheni vurugu
Pole yako mbona kama ya kinafiki mkuu pascal
Bado masaa 48 tuu