Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Geita, Upendo Peneza anashikiliwa na Polisi

Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Geita, Upendo Peneza anashikiliwa na Polisi

Chama cha zamani kinacho hubiri amani. Ndicho kina waogopa wanawake.
Tumeona mapolisi wakimshambulia Esther Matiko, tumeona juzi Esther Bulaya gari yake kupigwa mawe na Ccm, tumeona Halima Mdee akiebda polisi kulalamika kufuatiluwa na wajinga fulani polisi wakamgeuzia kibao. Leo ni Peneza tena. Sio Ccm wala polisi wanao jitokeza kukemeahuu ujinga.
Siro elewa kimya chako juu ya ujinga wa Ccm ni hatari kwa Taifa..
 
kituo cha polisi sehemu salama...nilifikiri kwa wasojulikana
 
Pole yako mbona kama ya kinafiki mkuu pascal
Laiti ungelijua moyo wangu kwa huyu dada... usinge sema!.
P
 
"...AMEKAMATWA BAADA YA KUFANYIWA VURUGU NA WANACCM..."!!!?

Mada za namna hii zinaumiza akili.

Hivi habari kama hii inaweza kuwa kweli ndani ya nchi hii, na wahusika (wanaoiongoza nchii) wanapoisoma wanajisikia raha tu? Hakuna kinachowasumbua akilini mwao kwa taarifa kama hii (kama ni taarifa ya kweli?)
 
Hama
Zanzibar leo wamechezea mabomu ya machozi kisawasawa, Geita mgombea ubunge Upendo Peneza kawekwa kizuizini. Simu za mkononi marufuku kutuma SMS zenye neno "LISSU".

Ila hakuna chombo cha habari utasikia kinatoa hizi taarifa.

Tunahesabu masaa 72 tu, Rais Lissu atangazwe ili huu upumbavu ufikie kikomo. Bora kutawaliwa na "MABEBERU" kuliko hawa "MAKSAI WALIO HASIWA". CCM wakilazimisha ushindi basi dunia nzima itatoa tamko moja #HATUMTAMBUI RAIS WA TANZANIA#
Hama tanzania ukabinuekiuno huko kwa makiti moto yakubinue, hakuna haja ya kutaka utawala wa kibeberu wakati unayo nafasibya kwenda ukakutana nao huko kwao.
 
Hama
Hama tanzania ukabinuekiuno huko kwa makiti moto yakubinue, hakuna haja ya kutaka utawala wa kibeberu wakati unayo nafasibya kwenda ukakutana nao huko kwao.
Ndugu yetu,
Mungu na akupe ujasiri wa kumkataa shetani na mambo yake yote. Unayo nafasi ya kutubu na kuwa mtu mpya na mwenye tabia njema zinazokubalika kwa Mungu.
 
Laiti ungelijua moyo wangu kwa huyu dada... usinge sema!.
P
Watia huruma, kumbe pia u mwana maigizo!
 
CCM ni nyakanyaka nchi nzima - mzee mzima safari hii anaumbuka!! panda ubaya - vuna ubaya.
 
Back
Top Bottom