Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Msahehe Mkuu kuna kitu yake ilipekwa na DEREFA YA TRENI YA MISIGOOPole yako mbona kama ya kinafiki mkuu pascal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msahehe Mkuu kuna kitu yake ilipekwa na DEREFA YA TRENI YA MISIGOOPole yako mbona kama ya kinafiki mkuu pascal
Na sekunde tatu tu...Bado masaa 48 tuu
ZishapunguaNa sekunde tatu tu...
Mara nyingi mapole ya maccm ni ya kinadikiMsahehe Mkuu kuna kitu yake ilipekwa na DEREFA YA TRENI YA MISIGOO
Humu jamvini alikuwa GT ...lakini sasa ni POPOMAMara nyingi mapole ya maccm ni ya kinadiki
Mayalla kwetu ni NJAA.
Chama cha zamani kinacho hubiri amani. Ndicho kina waogopa wanawake.
imepenya hioo matakonihKiingereza kibovuuu, grammatical errors kibao, ...
Laiti ungelijua moyo wangu kwa huyu dada... usinge sema!.Pole yako mbona kama ya kinafiki mkuu pascal
Ungeeleza na sababu za kukamatwa kwake. Haraka ya nini kuturushia wakati haijakamimilika.
Umenena ukweli mtupuHumu jamvini alikuwa GT ...lakini sasa ni POPOMA
Hama tanzania ukabinuekiuno huko kwa makiti moto yakubinue, hakuna haja ya kutaka utawala wa kibeberu wakati unayo nafasibya kwenda ukakutana nao huko kwao.Zanzibar leo wamechezea mabomu ya machozi kisawasawa, Geita mgombea ubunge Upendo Peneza kawekwa kizuizini. Simu za mkononi marufuku kutuma SMS zenye neno "LISSU".
Ila hakuna chombo cha habari utasikia kinatoa hizi taarifa.
Tunahesabu masaa 72 tu, Rais Lissu atangazwe ili huu upumbavu ufikie kikomo. Bora kutawaliwa na "MABEBERU" kuliko hawa "MAKSAI WALIO HASIWA". CCM wakilazimisha ushindi basi dunia nzima itatoa tamko moja #HATUMTAMBUI RAIS WA TANZANIA#
Ndugu yetu,Hama
Hama tanzania ukabinuekiuno huko kwa makiti moto yakubinue, hakuna haja ya kutaka utawala wa kibeberu wakati unayo nafasibya kwenda ukakutana nao huko kwao.
Mayala kajaliwa uso wa chuma uso haya.Halafu unashabikia u dictator !!.
Watia huruma, kumbe pia u mwana maigizo!Laiti ungelijua moyo wangu kwa huyu dada... usinge sema!.
PLife After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
Wanabodi, Nilikuwa naangalia bunge kuapishwa kwa waheshimiwa wabunge wapya. Ilipofika zamu ya Mhe. Upendo Furaha Peneza akiapa, nikamkumbuka Regia Mtema (RIP). Kwa waumini wa 'life after life' na mambo ya 'reincarnation' mtanielewa!. Kwa wafuatiliaji wa tanthiliya ya "Part of Me" kwenye...www.jamiiforums.com
Chadema Geita mbona mnavurugu sana? Huyu na wapambe wake wakae ndani mpaka uchaguzi uishe imhotep