Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Jaduong acha kuangalia shilingi upande mmoja kama mtu akivunja sheria, acha vyombo vya dola vimshughulie.Halafu unashabikia u dictator !!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaduong acha kuangalia shilingi upande mmoja kama mtu akivunja sheria, acha vyombo vya dola vimshughulie.Halafu unashabikia u dictator !!.
Hayo maneno tu,kama akileta chokochoko unakamatwa.Kumkamata Upendo sio mwisho wa Matatizo kwa CCM wajue kuwa kuna maisha baada ya Uchaguzi
Huyu RC hasomi alama za Nyakati
Nimejihami na pembeni yangu kuna Molotov cocktail huyo Mkurugenzi aliyetumwa kuiba Kura atanikoma Mwaka huuHayo maneno tu,kama akileta chokochoko unakamatwa.
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Chagu , mmepewa wabunge 28 bure bado mnahangaika na wagombea hawa wa kike ?!. Ni mgombea yupi wa Jimbo wa Cdm hana kesi za kubumba police ?!. Huu uchaguzi mkisheherekea ushindi mtakuwa hamnazoHayo maneno tu,kama akileta chokochoko unakamatwa.
Suala la msingi ni kufuata sheria, kuwa mpinzani isiwe sababu ya kuvunja sheria.Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Chagu , mmepewa wabunge 28 bure bado mnahangaika na wagombea hawa wa kike ?!. Ni mgombea yupi wa Jimbo wa Cdm hana kesi za kubumba police ?!. Huu uchaguzi mkisheherekea ushindi mtakuwa hamnazo
Ccm iliyofanya siasa pekee yake miaka mitano inaogopa uchaguzi ?!. Inafanya hila za kuwaondoa wapinzani ambao hawajajitangaza miaka mitano ?!.
Sababu zinajulikana, ni kama za Tundu Lissu kupigwa risasi 16.Ungeeleza na sababu za kukamatwa kwake. Haraka ya nini kuturushia wakati haijakamimilika.
Huyo Upendo Peneza wa kuvunja sheria gani ?!. Aibu ya kiongozi anayejinasibu kuifanyia nchi makubwa [emoji107][emoji40]Suala la msingi ni kufuata sheria, kuwa mpinzani isiwe sababu ya kuvunja sheria.
CCM ni nyakanyaka nchi nzima - mzee mzima safari hii anaumbuka!! panda ubaya - vuna ubaya.
Kwa makaburu, mtu kuulizia haki zake ni chokochoko anatakiwa kusifia kila kitu.Hayo maneno tu,kama akileta chokochoko unakamatwa.
Ngoja ngedere wavamie shamba lako ndo utatia akili
Ahaaa,alikuwa anaulizia haki gani?Kwa makaburu, mtu kuulizia haki zake ni chokochoko anatakiwa kusifia kila kitu.
Aliachiwa..lakin wanachofanya ccm geita ni ujinga tu....peneza uwezo wa kushinda anao kama wasipoiba kura wajinga waleHuu ni uongo mm nakaa karbu penez mbona yuapo tu
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Unaongea na Mnyika...