Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Geita, Upendo Peneza anashikiliwa na Polisi

Rais Lisu kaenda kutangazwa ubelgiji
[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
 
Mkuu Paskali msiwasahau wale ambao mtawateua kama ulivyosema hapo awali "for strategic purposes. Especially puppets.
 
Mayala naomba kawashaur ccm walete maemdeleo Zaid achna nass kbsa yan

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kama unaumia kuwakosa bungeni zile kelele za nileteeni rashidiiiii mlikuwa mnazitoa zanini,bora kukaa kimya kuficha ujinga wako,ww ni mtu mzima lakini akili umekosa sikufichi.Mlitaka bunge la kijani mmepewa bado mnalia au mnahitaji na wanawake wa CHADEMA muwaambukize na UKIMWI.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…