Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hawaja anza leo kutumia watoto, tangu zamani walitutumia hata sisi tulipokuwa watoto nakumbuka sana walituimbisha nyimbo zao za Chama chajenga nchi ila tulipopata ufahamu tuliachana na tumeachana na huo ujinga wa Chama