Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #41
Hii ni hoja ya msingi..Yawezekana pia anatukana wagombea wenzake ktk lugha ya kisukuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni hoja ya msingi..Yawezekana pia anatukana wagombea wenzake ktk lugha ya kisukuma.
Wabheja sana NgaloHalafu mbona anajilazimisha kujipa usukuma wakati sio msukuma anatuharibia sana image ya wasukuma , hakuna msukuma mwenye roho kama yake .
Mwalimu Nyerere alipata kusema ”namchagua huyu kwa sababu ni kabila langu". Akaendelea kueleza kuwa hii si sawa kwani hatuendi kwenye uchaguzi kuchagua kabila. Kadhalika watu waliofirisika kisela hujinasibu kwa kabila, rangi au dini. Na hivi ndivyo inavyoonekana katika kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi.Magufuli 5 tena.
Wamkaya
Huyo sio msukuma kumbe, ?ni kabila gani hyoWabheja sana Ngalo
Ilikuwa ni kipindi cha kampeni za uchaguzi ama cha kutafuta wadhamini?LISS alivyokuwa Singida vp alizungumza kwa Lugha gani!? Au Kinyaturu nayo ni Lugha ya Taifa!?
Nani.alikwambia watanzania wote wanajua kiswahili?,lengo ujumbe uwafikie walengo kwa mtindo wowote ule,hakuna ubaya wowoteHii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?
Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.
Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???
Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
Njoo na takwimu ya watanzania wangapi hawajui kiswahiliNani.alikwambia watanzania wote wanajua kiswahili?,lengo ujumbe uwafikie walengo kwa mtindo wowote ule,hakuna ubaya wowote
Mhutu na msukuma,wapi na wapiAcha ujinga nchi hii ni ya wasukuma,huwezi kuwatenganisha wasukuma na Tanzania kwani ndo wengi.
Inasikitisha kabisa tumerudi nyuma miaka 80. Viongozi wa aina hii ni hatari kwa mshikamano wetu tusiwachague.Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?
Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.
Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???
Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
Unatumia akili au kokoto kuwaza?Acha ujinga nchi hii ni ya wasukuma,huwezi kuwatenganisha wasukuma na Tanzania kwani ndo wengi.
NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yakeHii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?
Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.
Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???
Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yakeAcha ujinga nchi hii ni ya wasukuma,huwezi kuwatenganisha wasukuma na Tanzania kwani ndo wengi.
NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yakeSafari hii hata aongee kihutu lazima tumchape
NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yakeSubiria yule wenu aje kuhutubia kichaga.
Mgombea urais kupitia CCM akiwa Magu ametumia muda mrefu Sana kutoa hotuba kwa kisukuma akiomba kura.
Huku ni kuendekeza ukabila, kitu ambacho baba wa taifa letu akitumia muda mrefu Sana kupambana nacho.
Hata mgombea ubunge ndugu Kiswaga akiwa Nyanguge ametema kisukuma tupu.
Sasa tunasubiri kuona NEC ikimchukulia hatua kali mgombea huyu na ikibidi kumfuta kabisa. Kwasabb anapandikiza ukabila nchini wakati wa kampeni zake.
Hiki kitendo hakikubaliki kabisa.
Kwa kifungu kipi?Mgombea urais kupitia CCM akiwa Magu ametumia muda mrefu Sana kutoa hotuba kwa kisukuma akiomba kura.
Huku ni kuendekeza ukabila, kitu ambacho baba wa taifa letu akitumia muda mrefu Sana kupambana nacho.
Hata mgombea ubunge ndugu Kiswaga akiwa Nyanguge ametema kisukuma tupu.
Sasa tunasubiri kuona NEC ikimchukulia hatua kali mgombea huyu na ikibidi kumfuta kabisa. Kwasabb anapandikiza ukabila nchini wakati wa kampeni zake.
Hiki kitendo hakikubaliki kabisa.