Uchaguzi 2020 Mgombea Urais CCM kuhutubia kwa kisukuma huko Mwanza. Huu ni ukabila. NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais CCM kuhutubia kwa kisukuma huko Mwanza. Huu ni ukabila. NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake

Kila siku mnatukana wasukuma washamba mara magu msukuma anapendelea kanda ya ziwa haya kaja kuwaonyesha usukuma mnalalamika aiseee
 
Magufuli 5 tena.

Wamkaya
Mwalimu Nyerere alipata kusema ”namchagua huyu kwa sababu ni kabila langu". Akaendelea kueleza kuwa hii si sawa kwani hatuendi kwenye uchaguzi kuchagua kabila. Kadhalika watu waliofirisika kisela hujinasibu kwa kabila, rangi au dini. Na hivi ndivyo inavyoonekana katika kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi.
 
Yaani hyo mwaka huu ataongea lugha zote ,lakini hawexi kufikisha 52% alizopata mwaka 2015
 
Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.

Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?

Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.

Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???

Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
Nani.alikwambia watanzania wote wanajua kiswahili?,lengo ujumbe uwafikie walengo kwa mtindo wowote ule,hakuna ubaya wowote
 
Sio Kisukuma tu mheshiwa Rais amekuwa akitumia vilugha mbalimbali kusalimia audience, Halafu pamoja na kuwa Rais wa Nchi huyo pia ana kwao ambako ni Usukumani sioni shida kufanya ivo
 
Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.

Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?

Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.

Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???

Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
Inasikitisha kabisa tumerudi nyuma miaka 80. Viongozi wa aina hii ni hatari kwa mshikamano wetu tusiwachague.
 
Safari hii hata aongee kihutu lazima tumchape
 
Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.

Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?

Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.

Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???

Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake
 
Mgombea urais kupitia CCM akiwa Magu ametumia muda mrefu Sana kutoa hotuba kwa kisukuma akiomba kura.

Huku ni kuendekeza ukabila, kitu ambacho baba wa taifa letu akitumia muda mrefu Sana kupambana nacho.

Hata mgombea ubunge ndugu Kiswaga akiwa Nyanguge ametema kisukuma tupu.

Sasa tunasubiri kuona NEC ikimchukulia hatua kali mgombea huyu na ikibidi kumfuta kabisa. Kwasabb anapandikiza ukabila nchini wakati wa kampeni zake.

Hiki kitendo hakikubaliki kabisa.

Hapa ndio tutaona Tune ikichukua hatua kama kweli iko huru. Tena tunataka itangaze hatua hizo hadharani.
 
Mgombea urais kupitia CCM akiwa Magu ametumia muda mrefu Sana kutoa hotuba kwa kisukuma akiomba kura.

Huku ni kuendekeza ukabila, kitu ambacho baba wa taifa letu akitumia muda mrefu Sana kupambana nacho.

Hata mgombea ubunge ndugu Kiswaga akiwa Nyanguge ametema kisukuma tupu.

Sasa tunasubiri kuona NEC ikimchukulia hatua kali mgombea huyu na ikibidi kumfuta kabisa. Kwasabb anapandikiza ukabila nchini wakati wa kampeni zake.

Hiki kitendo hakikubaliki kabisa.
Kwa kifungu kipi?
 
Back
Top Bottom