Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hata membe kusini aliongea kilugha hii ni kawaida ya wa Tz
Anamuiga Membe! Halafu tume iko kimya kabisa mgombea mmoja akivunja maadili ya uchaguzi wazi wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata membe kusini aliongea kilugha hii ni kawaida ya wa Tz
Sasa kama yuko kwa wasukuma kuchombeza kwa lugha yao wewe inakuuma nini?Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?
Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.
Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma???
Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule??
Zaidi ya milioni 7,halafu huwezi kumpangia raisi kuwa asiongee lugha yake ambayo hata ndoto huwa anaota kwa kisukuma.Wasukuma pekee ni Milioni ngapi Chief? Kama umeenda shule njoo na jibu halafu nikulipue
Kila Watu wanaelezwa masuala ya Eneo lao na ndio maana kampeni ni kila eneo mgombea anaenda kuwaeleza Watu wa eneo husika na wanaelezwa ilani inawagusa vipi.
Kama ishu ni kurushwa na TV basi wangeongea tu mara moja kila mgombea wakarushwa na TV basi tukasubiri kupiga kura lakini si hivyo kila eneo wanaelezwa masuala yao ya eneo lao na ya nchi.
Unajua kuwa kuna watu usukumani hasa wazee Hawajui kiswahili mpaka Leo? Mgombea akiwaambia kwa Lugha wanayoielewa wataelewa tu na sidhani Kama anaongea Kisukuma bali anakazia baadhi ya masuala kwa kisukuma Ili wananchi hata wasiojua kiswahili wamwelewe.
Ukienda baadhi ya maeneo ya wamasai na wasukuma hawajui kiswahili hili ninauhakika nalo .
Zaidi ya milioni 7,halafu huwezi kumpangia raisi kuwa asiongee lugha yake ambayo hata ndoto huwa anaota kwa kisukuma.
Kila siku mnatukana wasukuma washamba mara magu msukuma anapendelea kanda ya ziwa haya kaja kuwaonyesha usukuma mnalalamika aiseee
Ukitaka kujua hujui unachoongea, angalia hujaweka koma wala nukta kwenye huu upuuzi wako.
Lakini umeuelewa upuuzi wenyewe
Kuna upuuzi unaeleweka?
Nyerere alisema msiyafanye makabila makubwa ya Wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa nk kuwa watawala wakuu wa nchi, tumeishakosea, tusirudie.Ukabila ktk kampeni haukubaliki... Ni nje ya democrasia na unachchea ubaguzi...
Kwani hawa watu wanafuata hata hivyo vifungu vya sheria basi? Kama ingekuwa wanafuata vifungu vya sheria huyu mzee tayari si mgombea halali, tumelazimishiwa na tume yake ya uchaguzi. Na kwakuliendeleza hilo hata yeye anatulazimisha tumchague yeye na watu anao wataka, bila hivyo tusiulizane huko mbeleni.Lisu najua atakuja na vifungu vya sheria na kulisemea hili.
NEC ya CCM yeye ndiye mwenyekiti wake, ukweli anazungumza kwa kiswahili ila vipazasauti vinagoogle kwa kisukuma, hivyo hana kosa.Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?...
Rais na timu yake wanaongea Kisukuma, anatishia wapiga kura kumpigia anayemtaka
Makamu wa Rais anajidai na risasi zao.
Bashiru naye anamponda Kigwangalla,