Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC

Ila Membe anahangaika nini?

Washauri wake naoni viazi.
Huyu mzee anapapara tu, angebaki ccm nchi ingekuwa yake

Kuna kitu kinaitwa ukimwaga mboga na sie tunamwaga ugali ndio dawa ya JPM ,kama unaleta ubabe kunifukuza ngoja na mie nikuwashie moto!! Ni kama kutoa taarifa kwa JPM kwamba kuna other way ya kutimiza lengo sio njia moja tu ,6 millions ways to die nikka choose one.
 
Njia ya Kufika Ikulu INA Kona nyingi Sana na ina mapori ya kutisha, wengi hupotelea njiani, Ila ni CCM pekee wanaijua vizuri njia hiyo, hawapotei na mwaka huu watakuwa wenyeji wa Ikuru,

UUpende usipende, wenginewe tayari washaanza kupotea ikiwa tu safari ingali ikipangwa ni kivipi kunaendeka
 
Ila huyu Membe kabla ya 2025 lazima aandike barua ya kuomba msamaha CCM. Zitto hapa umewaangusha watanzania. Kwani ilikuwa lazima muweke mgombea urais bara ?Stupid kabisa kitendo hiki.
Niko ndicho ninachokiona mbele baada ya kuimaliza kazi aliyotumwa. Dhamira yangu inaniambia kwamba kwa kukiama chama kama alivyohama Lowasa wapinzani wangeshtuka, ilibidi njia mbadala itakayowaaminisha upinzani na kuwa tayari kumpokea iwe tofauti na iliyozoeleka na ndiomana tuliona ule mpasuko ndani ya CCM mpaka kufukuzwa kwa Membe. Lakini yote hayo ni mkakati, tusubiri time will tell
 
Hii ndio hofu yangu, kama kweli angekuwa mpinzani angemuunga mkono Tundu Lissu, the guy he is in opposition wing for a special mission like Lowasa.
Tundu Lissu na Chadema wakae vizuri, waelewe kuwa kura za ACT zishagawanywa
Hata Tundu Lissu tuna wasiwasi ana special mission na mabeberu, kwahiyo hatuwezi kumchagua. Twende Magufuli ana special mission na watanzania!!!!!!!!
 
Hii ndio hofu yangu, kama kweli angekuwa mpinzani angemuunga mkono Tundu Lissu, the guy he is in opposition wing for a special mission like Lowasa.
Tundu Lissu na Chadema wakae vizuri, waelewe kuwa kura za ACT zishagawanywa
Vitu vingine mtu huhitaji kuwa na shahada ya Umahiri kujua.
Ni akili tu ya kuweza kujua huyu sato na huyu sangara inatosha kujua trick za CCM
 
Hata Tundu Lissu tuna wasiwasi ana special mission na mabeberu, kwahiyo hatuwezi kumchagua. Twende Magufuli ana special mission na watanzania!!!!!!!!
Bora mission za mabeberu zina tija kuliko special mission za CCM
 
Hata Tundu Lissu tuna wasiwasi ana special mission na mabeberu, kwahiyo hatuwezi kumchagua. Twende Magufuli ana special mission na watanzania!!!!!!!!
Mbona hata Magufuli ndo anaomba misaada kwa hao mabeberu. Bila mabeberu kuwapa misaada mbona wote mtakufa kwa kwa malaria,kipindupindu,Ukimwi n.k
 
Membe tunamsoma tu. Kama hamuungi mkono Lissu hata huo Uwaziri Mkuu ambao angeupata baada ya Lissu kuwa Raisi atausikia kwenye bomba.

Anatakiwa aamke kama anataka kweli kuleta mabadiriko Tanzania. Ila kama nae ametumwa kama walivyotumwa wengine basi tunamwambia tu nae ataingia kwenye historia ya aibu mwaka huu. Ataenda kunyang’anyana iyo asilimia 30 atakayopata Magufuli maana TUNDU ANTIPAS LISSU anaenda kubeba asilimia 70 ya kura zote hapo October 2020
Endelea kuota Ndoto za mchana Yaani CCM tujenge Ikulu chamwino ije ikaliwe na kichaa kutoka ubeligiji, hilo Jambo halipo leo halipo kesho wala keshokutwa.
 
Endelea kuota Ndoto za mchana Yaani CCM tujenge Ikulu chamwino ije ikaliwe na kichaa kutoka ubeligiji, hilo Jambo halipo leo halipo kesho wala keshokutwa.
Sasa amini nakwambia Ikulu la Chamwino baada ya October mwaka huu inakaliwa na Tundu Antipas Lissu.
Hamjaijenga kwa hela zenu na wala hamna hatimiliki nayo. Imejengwa na jeshi la wananchi la Tanzania kupitia JKT kwa fedha za watanzania ambazo ni kodi zao.

Pelekeni ujinga wenu hukohuko Lumumba na jiandaeni kuwa Chama Pinzani mwaka huu.
 
Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
Siyo kweli Magulfu alipata zaidi ya 57% ya kura zote zilizopigwa ina maana wapinzani wote kura zao zilikuwa chini ya 50%.
 
Kati ya vyama ambavyo havina mvuto hiki nacho kimo
Hao wanawazito wa dunia hii nyuma yao. Unafikiri Zitto mpaka kuacha ubunge ni mjinga? Na amejipa cheo kiongozi mkuu, wakati wana mwenyekiti aliyeko kama pambo tu. Mzee kijana kapiga hesabu kaona zinakubali. Wataalam wa IT wako tayari. We wadharau tu, utawaona mvuto wao muda si mrefu.
 
Harudishi form huyo, ndo mpango ulivyo
 
2015 akina Lissu walikula dili na CCM kutuwekea wagombea wawili wa URAIS.
2020 Zitto kawatime akina Lissu kuliwahi dili
2025 sijui chama gani tena? ...maana NCCR tayari walishakula dili lao 1995.
Kweli hapa ndipo ninapoamini kauli ya Mbowe aliyoitoa viwanja vya Dr Slaa pale Mbeya kuwa Upinzani utahitaji kusubiri miaka si chini ya 50 kuiondoa CCM.
 
Back
Top Bottom