Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi kushughulisha ubongo wako mkuu. Upewe uwezo kuona upande wa pili wa kiganja chako. Omba uhai uvuke Oct 28.Membe wameshindwa kumchomoa pesa
Za kampeni wamembwaga
CCM mgombea hubebwa na pesa za Chama kaenda na hiyo mentality kule usidhani chama kitambeba anaambulia patupu...
Wamepagawa !Wapinzani hawaeleweki
Nimepiga Political Science. Nimekuelewa mkuu wangu.Hata mimi pia, Membe anapanga Baraza la Mawaziri la Tundu Lissu. Ushindi tayari na nchi za Afrika Rais hapatikani jukwani kama alivyosema. Wanadai eti hatuna Tume Huru za Uchaguzi. Wanatuchagulia wao Rais wanayemtaka bila hivyo nchi za Afrika hazina uwezo wa kuwatoa madarakani watawala. Omba uhai Oct 28 uwepo.
Waraka mzuri...Maalim anapambana kivyake Zenji..Membe sio mpinzani hajawahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani..Zitto analinda ubunge wake
Membe wameshindwa kumchomoa pesa
Za kampeni wamembwaga...
Ukiendlea kubaki huko unaweza kuja kuwa taahira siku za baadae maana mwenyewe umejionea hao mabaranjuna wanachokifanya. Cha kufanya ni kuwahi mapema sana wewe na vijana wenzako wote mnaojitambua kurudi nyumbani baba atakupokea. CCM OYEE
Ina maaana kiongozi hujawaelewa hilo baraza la vijana wa ACT au vp? Vijana wamechoshwa wanaona bora watapike nyongo. kwani UVCCM kiongozi wao ni zito?Hao vijana wa uvccm unataka eahamie CCM Mara ngapi? Kwani walihama lini?
Ina maaana kiongozi hujawaelewa hilo baraza la vijana wa ACT au vp? Vijana wamechoshwa wanaona bora watapike nyongo. kwani UVCCM kiongozi wao ni zito?
@Zitto kasema Membe yuko anapanga Baraza la Waziri kwani wana uhakika na ushindiHesabu inakwama,Zitto yeye anatafuta wabunge wa kutosha ndio sababu anazunguka sehemu nyingi.
Membe simuelewi,sijui ana bifu na Zitto au pesa za kampeni ni shida.
Tusubiri 28 October@Zitto kasema Membe yuko anapanga Baraza la Waziri kwani wana uhakika na ushindi
[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wapinzani hawaeleweki