sio kufurahi kwasababu yakuongea mambo mengi tuu but mazungumzo yanakuwa mataamu kama rugha unaichalaza fresh sio mtu kidhungu chako kibovu kama "NO Father ,NO Mother ,NO Brother,No Sister kwingine cant reach him"Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Bwana yule atanuna vibaya, sasa ngoma naye akipewa nafasi ya kuongea na huyo baloziView attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
Tutaingia na hoja ya kukikuza na kukitukuza kiswahiliWalivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Hutaki hamia kwenu BurundiApewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Umemaliza kaziWamarekani ndio wanatawala dunia, kama hautaki andamana.
CC:WakudadavuaNatumaini Tundu Lisu atakuwa kati ya mgombea pekee ambaye Balozi hata pata taabu kumuelewa maana wengine lugha ya malikia ni tatizo izzz na zeee zitakuwa nyingi sana
Yupi yule wa kutoka kwenye taka ngumu?Rais wetu atamtuma muwakilishi.
ThubuutuuuuuuSasa yule Jamaa wa Pipo yuzid tudai ini da Leki ataweza kweli ki inglish. Apumzike tuu huko Chato safari hii hatuna utani thubutu yake ajaribu kuiba kura aone.
Balozi hana muda mchafu wa kufuatilia taarabu zenu za TOTTENA WATOE TAMKO JUU YA MIKUTANO YA LISU KWENYE MISURURU YA WATU HATA LISU MWENYEWE HAVAI BARAKOA, HUKU KORONA IKIWA NIJANGA. NAMUOMBA BAROZI HUYO AMUONYE HUYO LISU KUFANYA MIKUTANO YENYE MIKUSANYIKO YA WATU KWA KIPINDI HIKI CHA KORONA.
Mimi naanza, ni ujinga sana kwa mgombea uraisi kutopasi shatiKuna watu watakuja kutoa povu hapa.
Ya mbuzi wa Vingunguti....!!!ππ
sio kufurahi kwasababu yakuongea mambo mengi tuu but mazungumzo yanakuwa mataamu kama rugha unaichalaza fresh sio mtu kidhungu chako kibovu kama "NO Father ,NO Mother ,NO Brother,No Sister kwingine cant reach him"
hahahaaaaa.... kwao ni mkutano wa kikazi....Na note book ya points watakazoongelea na walichoongea.
Tatizo yule wa chama cha kijani LUGHA ni tatizo?View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
direct translation eti hawezi kumfikia Chakwera kwa kuhubiri....mimi naona shule yake amesoma ujanjajanja tuu πππππππHivi Jiwe alikuwa ana maana gani aliposema...."Your Excellency I am trying to preach but I can't reach you....!!!Nilicheka Sanaπ€£π€£
Kabla ata hajaanza KAZI hapa nchini, Balozi alimfata huyo mwingine alipo kwenda kumuomba Baraka za kufanya KAZI nchini.. nadhani next atakua Gwajima au tarimba kufanya mazungumzo na Balozi manake ubalozi uko katika mojawapo ya Jimbo... Kinondoni or Kawe.Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Ha ha ha amekatwa center bolt huyo. Mabeberu sio watu wazuri aisee.Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Hivi mabalozi wetu wakienda kujitambulisha nchi za nje wanatumia Kiswahili kujieleza Kwa wakuu wa nchi husika?..kama jibu ni hapana, sioni haja ya kumlazimisha au kuona fahari Kiongozi wa nchi yetu kutumia lugha ya wageni , ni wajibu wa wageni kujifunza lugha ya kuwasiliana na Kiongozi wetu Not the other way around.Tatizo yule wa chama cha kijani LUGHA ni tatizo?
Mbona jibu lipo?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Kama ni hivyo kwanini elimu yetu inafundishwa kiingeraza ? cha nini ikiwa tunataka kutumia lugha yetu kuwasiliana na watu wengineNadh
Hivi mabalozi wetu wakienda kujitambulisha nchi za nje wanatumia Kiswahili kujieleza Kwa wakuu wa nchi husika?..kama jibu ni hapana, sioni haja ya kumlazimisha au kuona fahari Kiongozi wa nchi yetu kutumia lugha ya wageni , ni wajibu wa wageni kujifunza lugha ya kuwasiliana na Kiongozi wetu Not the other way around.