Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Hawa jamaa wadhihirishe kama kweli hawana Mgombea wanayempigia chapu kwa kuonana na Wagombea wengine, TADEA, NCCR MAGEUZI, CUF, nk. La sivyo ni janja janja ambayo Watanzania wameishaigundua.

Wewe ndo unaleta janjajanja hapa.
Balozi wa Marekani amewaalika Wagombea wote wa Urais kwenda kuonana naye akiwemo Rais Magufuli! Mbona hata Mbatia wa NCCR Mageuzi Kesha onana na Balozi?
Tatizo kubwa hapa ni LUGHA gongana.Tunajua huko CCM na mamluki wake TADEA, NRA,TLP,CUF,n.k hakuna mwene ujasiri wa kwenda kutema yai mbele ya Balozi wa USA🤣🤣
 
Mwambieni akaonane na barozi wa yesu au mtume muhamad lakini kichapo kipo palepale.
Kama amekaa nao huko bado hawakumuelewa sasa itakuwa hapa?
 
Yaani hizi picha zinafurahisha sana. Jembe Magufuli kasafisha njia. Tanzania hatuna corona.

Cheki wanavyo tabasamu no mask no unnecessary distance
Inawezekana kukawa hakuna corona ila kuna Ukimwi,kipindupindu,kuhara damu,kichocho,kwashakoo,utapiamlo namagonjwa mengi yatokanayo na uchafu.kwahiyo kama kanyoosha njia kwenye corona hebu anyooshe njia kwenye hayo maradhi mengine pia.
 
I thought you are gb but nah its kb poor you. Corona is a world wide calamity.

Kila kitu kilisimama kumpisha mbabe corona sio ukimwi wala kipindupindu. Anyway kwa sasa Tanzania hatuna tishio la kipindu pindu,kichocho,kwashakoo,utapiamlo na magonjwa mengi yanayosababishwa na uchafu. Kuwa msafi mkuu toa elimu na kwa jamii yako waache uchafu
Inawezekana kukawa hakuna corona ila kuna Ukimwi,kipindupindu,kuhara damu,kichocho,kwashakoo,utapiamlo namagonjwa mengi yatokanayo na uchafu.kwahiyo kama kanyoosha njia kwenye corona hebu anyooshe njia kwenye hayo maradhi mengine pia.
 
We m...k...n..d...u kweli!! kwani hujui wanaompa mapesa Lissu ni wazungu na kundi la akina Robert Amstadam?? Nani kakwambia hana pesa?
We "matacco" ulitaka afanyeje kampeni zake bila ya misaada? Jiwe yeye anatumia kodi zetu kufanya kampeni za kufuru kwa kukodi wasanii.
 
Wamarekani ndio wanatawala dunia, kama hautaki andamana.
Marekani wanaijua Tanzania na wanaelewa wanachotakiwa kukifanya bila kuwakosea Watanzania. Mpaka saizi wameamini akili ya JPM ina dira nzuri yenye kuutambua ukuu wa Mungu.
Wanatambua ili waendelee kuishi ni lazima kumheshimu aliyemtanguliza Mungu kuwalinda watoa huduma za Afya, Maaskari wa Mipakani, Vyombo vya dola, Wataalam mbalimbali na kutushindisha katika vita mbaya/Kali ya Kupambana na Covid-19.
NB: Two way traffic ndiyo maisha ya Dunia. Hakuna aliyewahi kujitosheleza.
Kwa Imani yako, Mshukuru Mungu kwa kuwa ni mmoja ya Watu Wachache waliofanikiwa kuishi katika utawala safi wa awamu ya 5
 
View attachment 1593154

Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593156
wana sheria wengi wana akili na mitego mingi tusubiri
 
Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.

Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Yule mwingine ndiye aliyepokea hati yake ya utambulisho na kumruhusu kuwepo nchini. Yule mwingine kwa hadhi yake hawezi kumfuata huyo balozi huko vichochoroni bali balozi anaomba kufika ikulu tena CHAMWINO DODOMA.
 
Back
Top Bottom