mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 482
Belgium, karibu na hospitali ya Lissu!uko nchi gani boy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Belgium, karibu na hospitali ya Lissu!uko nchi gani boy?
OkayView attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
Wote walisha hojiwa ila dreva wa Lissu ndiye "shahidi nambari moja." Hata zile kamera pia tunazo.Kwani mliisha maliza kuwahoji walinzi wa pale, na yule aliyeandaa barua ya pole mwezi mmoja kabla
Hongera kwa all concerned parties!Polisi walisalimu amri wakaondoka na lisu akaenda na kuendesha kikao Cha ndani
Karudi leo
Maneno ya MKOSA HOJA! Dawa ni KUYAPUUZA tu.
Watia huruma weyeTatizo hapa ni MUDA! Kwa kweli sikuwa na muda wa kufuatilia mwisho wa hiyo SINEMA ya Lissu. Kumbe Polisi walimuacha ili apate muda wa kujitayarisha kwa safari yake ya kumuona Balozi wa US!
Haitawasaidia kufunika ukweli.Wote walisha hojiwa ila dreva wa Lissu ndiye "shahidi nambari moja." Hata zile kamera pia tunazo.
Tunawaombea mpate nguvu ya kujiandaa ki saikolojiaPigeni keleee mukimaliza niambieni, Lisu hawezi pewa mamlaka ya kutuongoza wa Tanzania, hilo liko wazi hata yeye mwenyewe anajua.
Mbona kakutana na Mbatia hamjasema.?View attachment 1593259
Alimuwakilisha Maganja.Kwani Mbatia naye anagombea urais wa nchi gani? Au vunjo ni nchi siku hizi?
Kwa hiyo na Maalim Seif naye apewe jimbo? Mavi-jana ya CCM huwa mnatembea na vichwa ambavyo ni makopo tu hayana ubongo. Mmebakiza vichwa vya kufugia chawa!Apewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Huna akili mwamba! Kichwa chako ni kopo ambalo halina ubongo. Hakuelewa alichosema LissuHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Katafune limaoApewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI" 😂🤣😂🤣View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
Huyu designer wa shati za Lissu, namvulia kofia!View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
Usipotoshe.. hiyo ni kama policcm wangeendelea kumzuiaHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Sana tuu.. Ingia YouTube utakuta midahalo yake kibaoKwani LISSU anajua kuongea kidhungu?