Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kwa akili yako nani anapata dhuluma ya ushindi?Hiyo ni kanuni ya wazi kuwa kwenye kushindana kwani kuna mshindi na mshindwa. Cha muhimu anayeshinda ashinde kihalali, na mshindwa ashindwe kihalali fullstop.