Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Hilo tu ndio umeliona.... Praise team wa lumumbaLissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo tu ndio umeliona.... Praise team wa lumumbaLissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Uongo upinzani Tanzania una cha kujieleza kwa wamarekani akiwemo Tundu Lisu na Chadema wapinzani namba moja wa ununuzi wa ndege toka kampuni ya Boeing ya wamarekaniBoeing hawana shida ya soko la ndege zao wala Tanzania siyo soko lao muhimu ikumbukwe kuwa wanatangeneza pia ndege za kisasa za kijeshi zenye bei kubwa.
Lissu kila analolifanya lipo very Calculated. Ni mpinzani ambaye anajua ku provoke na yupo smart kwenye masuala ya Sheria na KanuniLeo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Kila mtu na staili yake ya kusimama kama vile wewe unavyopenda kutembelea visiginoHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Bila shaka mazungumzo yalijikita jinsi ya kuuza nchi yetuWalivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Kwa mfanyabiashara hata tairi la Boeing lina muhimu kiswahili tunasema usidharau shilingi mia mbili kisa umepata elfu moja notiBoeing hawana shida ya soko la ndege zao wala Tanzania siyo soko lao muhimu ikumbukwe kuwa wanatangeneza pia ndege za kisasa za kijeshi zenye bei kubwa.
Sio nyie mliompiga risasi?Lissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Wewe unasimamaje?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Hayo maneno we dont support any party, ni sindano kwa lissu. Alidhani atapewa support...bila shaka kaenda lia lia huko jamaaa kampa za uso hatusapoti yeyote...Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Ungefuatilia yalivyoisha ingekusaidia sanaHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Imebidi nicheke tuWalivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Kama huwaogopi binadamu basi hebu muogope Mungu dada yangu. Wahenga wa kiswahili walituasa siku nyingi kua "Hujafa hujaumbika"Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
uko nchi gani boy?Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
😂 sawa mkuu ...I take itNilikuwa sijui maana ya neno Utopolo mpaka nilipoona hii comment!
Kwani mliisha maliza kuwahoji walinzi wa pale, na yule aliyeandaa barua ya pole mwezi mmoja kablaAliyempiga risasi za ndege tutampata wapi ili aulizwe na nyie mmemfika sijui Ubelgiji sijui wapi, mnajua wenyewe! Mleteni tumuhoji!
Balozi kakutana na wagombea wote ambao wanaenda kushindwa.View attachment 1593262