antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hiyo Avatar ni sura yako?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Avatar ni sura yako?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Kabudi majalala juzi juzi kaongea na mabalozi na yeye apewe jimbo?Apewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Mtukufu magufuli hata Kiswahili chake ni kibovvu, hajui lugha zote mbili labda aongee kisukuma ingekuwa ni raia wa BurundiNajua Kuna umuhimu wa kujua Lugha mbali mbali.
Lakini mazee mmeng'ang'ania Magu kujua English na Kuiongea fluently.kana kwamba akisha fanya hivyo ndio shida zoote za Tz zitaisha.
Ngeli sio issue Sana bwana. After all ukishaingia kwa office kubwa Kama lile jumba jeupe wakalimani wapo.kwa Lugha yeyote sio ngeli tu.
Magu we Gonga kiswahili tu. Ata ukiamua kuongea ngeli usipopiga Kama Cha St. Kuna Ia Muhimu Ni kuelewana tu.
Ndio lengo la Mawasiliano. Sio utaalamu wa Lugha.
Bado haujaacha kuvuta Bangi?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Sanane alihoji phd ya mtukufu akapotezwa na kikundi cha BashiteJiwe ana PhD ya korosho na alisoma kwa lugha ya malkia ila haijui lugha yenyewe japo alifundisha pia kwa kingereza. Aibu iliyoje
Wanakutawala ww na mke wako.Ng'ombe wwWamarekani ndio wanatawala dunia, kama hautaki andamana.
Hiyo lugha ilipeleka maendeleo gani alipokua mbunge huyu Mk***u**ndu?Natumaini Tundu Lisu atakuwa kati ya mgombea pekee ambaye Balozi hata pata taabu kumuelewa maana wengine lugha ya malikia ni tatizo izzz na zeee zitakuwa nyingi sana
Ametoka kupigwa pipe na balozi....Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Alale kivipi wakati polisi wa CCM walivyoondoa kuzuizi akitakiwa kuendelea na Safari ya MlandiziHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Hata kabudi alivyokwenda huko alipigwa pipe?Ametoka kupigwa pipe na balozi....
Hana fair kwani mmoja bado anatumia vyombo vya dola kuwatesa wagombea wengine huku akijiwekea refa wake kwenye Tume ya uchaguzi isiyo hura na hakiMgombea anafanya kazi nzuri na ya kupongezwa, uchaguzi unatakiwa kuwa huru na wa haki akishinda, katiba ibadilishwe haraka ili uchaguzi ujao wagombea wote wawe katika level sawa.
Siyo eti mmoja anagombea akiitwa Rais na amiri jeshi wa majeshi yote akitumia rasilimali zote za umma na mwingine ni mgombea tu huku akikabiliwa na vikwazo kibao vya kufanya kampeni. Huo ni uhuni😎
Wananchi wameamua kupenda asiye na pesa wala vyombo vya dola asiyetumia wanafunzi kusomba watu na mafuso kutumia wasanii wa miziki kuleta watu kwa nguvu kwenye mikutano ya ccmAtakuwa anatembeza bakuli maana hali ni mbaya ya kifedha
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
Hawa jamaa wadhihirishe kama kweli hawana Mgombea wanayempigia chapu kwa kuonana na Wagombea wengine, TADEA, NCCR MAGEUZI, CUF, nk. La sivyo ni janja janja ambayo Watanzania wameishaigundua.View attachment 1593154
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593156
nasikia jana JPM katema ung'eng'e wa kufa mtu...ni kweli kada??.Hiyo lugha ilipeleka maendeleo gani alipokua mbunge huyu Mk***u**ndu?
Kama kiongozi wa familia ndio unaandika hivi je, hao wengine miandiko si Ni kichefuchefu!TENA WATOE TAMKO JUU YA MIKUTANO YA LISU KWENYE MISURURU YA WATU HATA LISU MWENYEWE HAVAI BARAKOA, HUKU KORONA IKIWA NIJANGA. NAMUOMBA BAROZI HUYO AMUONYE HUYO LISU KUFANYA MIKUTANO YENYE MIKUSANYIKO YA WATU KWA KIPINDI HIKI CHA KORONA.
Nilimsikia Jiwe akijitahidi kuonesha kuwa naye wamo....!!! Lakini zeze zilikuwa nyingi Sana(The, the, the,) mpaka nikamhurumua jamaa kwa broken hiyo.....Kweli JPM KIINGEREZA KINAMPA taabu sana.nasikia jana JPM katema ung'eng'e wa kufa mtu...ni kweli kada??.