TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Polisi walishindwa Kukesha wakaondoka. Lissu akaendelea na safari yake.Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?