Tunahitaji mwnendo unaozingatia demokrasia tu. Hatuhitaji upendeleo wa polisi wala tume.Rais mtarajiwa anaweka mambo sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahitaji mwnendo unaozingatia demokrasia tu. Hatuhitaji upendeleo wa polisi wala tume.Rais mtarajiwa anaweka mambo sawa
Sasa kama ni hivyo nini jukumu la jeshi la polisi linalopwa fedha na umma wa watanzania kuhakikisha usalama wao sio wa kutiliwa shaka?NDIOOOOOOOOO!
Sasa mapambazuko yamekaribia Sana..............Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Tatizo kielizabetiLugha
Si unadai mna hata haki za kuengua wagombea hali wao hawana haki za kujitoa?
Msimamo wa Lisu korona bado ipo kwakuwa akili yake imeshikiliwa na wazunguUnaposema Tamko juu ya Mikutano! Misururu. Yule mwingine yeye anamisururu ya panya au! Korona si alishasema hakuna wewe unaitoa wapi?!
Hayupo fluent kihivyo, ila anaweza kueleweka kwa wenye lugha yao. Wabongo wengi ambao wapo vizuri kwenye kutema yai ni either wameishi au kusoma kwenye nchi za malkia au wana high intelligence kuweza kumudu kutumia kimalkia ndani ya muda mfupi na kwa lafudhi inayoeleweka na wenye lugha yao.Kwani LISSU anajua kuongea kidhungu?
Povu la Nini?!Kuna watu watakuja kutoa povu hapa.
Hatuhitaki kura yake. Tunataka Fair and free election processtehe tehe tehe,balozi hapigi kura huyo kaenda kula ubwabwa tu
Walikutana baada ya Lisu kumaliza kuzurura mjini au kabla ya hapo ?Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
People uzid to die in ze rakeNatumaini Tundu Lisu atakuwa kati ya mgombea pekee ambaye Balozi hata pata taabu kumuelewa maana wengine lugha ya malikia ni tatizo is na the zitakuwa nyingi sana
Wasi wafe ili ijulikane kinachotakiwa kufanyikaJe wangekufa wote mngesubiri wafufuke ndo muwapate waliompiga risasi?
Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
we mbona ziwa lako moja kubwa jingine dogoHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Balozi ndo anatakiwa awe na mkalimani, mgeni anafuata taratibu za mwenyejiJiwe lazima aende na mkalimani hapo
Apewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Wameshaamini kwamba Magufuli kawazidi wazungu wote kuhusu ishu ya koronaYaani hizi picha zinafurahisha sana. Jembe Magufuli kasafisha njia. Tanzania hatuna corona.
Cheki wanavyo tabasamu no mask no unnecessary distance