Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Jiwe ana PhD ya korosho na alisoma kwa lugha ya malkia ila haijui lugha yenyewe japo alifundisha pia kwa kingereza. Aibu iliyoje
Watanzania ambao wanaishi mijini wanazungumza kiswahili mwanzo mwisho, wengi waliopo vijijini wazungumza kilugha, lakini kwenye mtihani wa kiswahili wapo ambao wanazungunza kiswahili muda wote lakini wanaishia kupata F na wapo ambao wanaongea kilugha huko vijijini hadi kwenye majadiliano darasani lakini wanapata A. Nadhani nimekujibu
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Yaani umeona hii nayo ni habari kubwa!! Huyo balozi anakutana na wagombea urais na viongozi wa vyama kujifunza kutoka kwao kwa kuwa amekuja TZ hivi karibuni juzi alikutana na Mbatia lakini kwa kuwa uko mbali huwezi jua haya dada!
 

Attachments

  • IMG-20201006-WA0023.jpg
    IMG-20201006-WA0023.jpg
    28.4 KB · Views: 1
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
The next President of The United Republic of Tanzania 🙏🏽
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Nawaza yule mwenzetu atatumia lugha gani.
 
Back
Top Bottom