Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Vipi ikiwa kama kaegemea?Lissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ikiwa kama kaegemea?Lissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Jiwe ana PhD ya korosho na alisoma kwa lugha ya malkia ila haijui lugha yenyewe japo alifundisha pia kwa kingereza. Aibu iliyojeBalozi ndo anatakiwa awe na mkalimani, mgeni anafuata taratibu za mwenyeji
Kutafsiri ni kazi ya bwana kabudioJiwe lazima aende na mkalimani hapo
Vipi ikiwa kama anatembeza?Atakuwa anatembeza bakuli maana hali ni mbaya ya kifedha
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
Acha Mambo yako,waulize wasiojulikana .Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Kwani huyo utomvu wa korosho aliandika kwa kisukumaKwani ni PhD ya lugha?
Ni mlemavu.Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Watanzania ambao wanaishi mijini wanazungumza kiswahili mwanzo mwisho, wengi waliopo vijijini wazungumza kilugha, lakini kwenye mtihani wa kiswahili wapo ambao wanazungunza kiswahili muda wote lakini wanaishia kupata F na wapo ambao wanaongea kilugha huko vijijini hadi kwenye majadiliano darasani lakini wanapata A. Nadhani nimekujibuJiwe ana PhD ya korosho na alisoma kwa lugha ya malkia ila haijui lugha yenyewe japo alifundisha pia kwa kingereza. Aibu iliyoje
Police waliondoka wakamwambia aendelee na safari yakeHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Aliandika kikemiaKwani huyo utomvu wa korosho aliandika kwa kisukuma
Mguu mmoja umekuwa mfupiHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Yaani umeona hii nayo ni habari kubwa!! Huyo balozi anakutana na wagombea urais na viongozi wa vyama kujifunza kutoka kwao kwa kuwa amekuja TZ hivi karibuni juzi alikutana na Mbatia lakini kwa kuwa uko mbali huwezi jua haya dada!Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Unataka akusimamie wima kwa nyuma?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Hao ndo wafadhili wetuApewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Kama Askari waliondoka yeye abaki kufanya niniHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
The next President of The United Republic of Tanzania 🙏🏽Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Nawaza yule mwenzetu atatumia lugha gani.Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Amen 🙏🏽Hivyo hivyo balozi a
🙏🏾May The Almighty God Bless Him
Rais wetu atamtuma muwakilishi.