CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Wenye akili nyingi wanamkubali sana Lissu.
Mambumbumbu tunamkubali Frustration.peole used to die in the rake.
Mambumbumbu tunamkubali Frustration.peole used to die in the rake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishi, unaishi TANZANIA, Ila akili zako zote ziko ulaya!!Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
kwa sababu alipigwa lisasi na baba JHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Bi mkubwa,huna haja ya kumjibu huyu.lisu kawashika wakachanganyikiwa wote,hawana hoja tena,kuanzia mwenyekiti wao.hukusikia Kule Zanzibar kuwa akistaafu urais lazima arudie mke mweupe peer.Ana vyuma baada ya kupigwa risasi. MUNGU alimuumba mzima Ila kuna MTU ambae hawezi kuumba hata sisimizi amemfanya asimame upandeupande.
Mlitaka kumuua bahati mbaya ndio kwanza mlimpaishaHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Je wangekufa wote mngesubiri wafufuke ndo muwapate waliompiga risasi?Aliyempiga risasi za ndege tutampata wapi ili aulizwe na nyie mmemfika sijui Ubelgiji sijui wapi, mnajua wenyewe! Mleteni tumuhoji!
Jiwe lazima aende na mkalimani hapoApewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Acha utani n mwenyekiti wa Lumumba [emoji3]Kwani LISSU anajua kuongea kidhungu?
Wamarekani ndio wanatawala dunia, kama hautaki andamana
[/QUOTElWanakujua?Wamarekani ndio wanatawala dunia, kama hautaki andamana
NDIOOOOOOOOO!Je wangekufa wote mngesubiri wafufuke ndo muwapate waliompiga risasi?
Kwanini we unapenda kutumia tishu?Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
LughaNa jpm naye aende.
Hakusoma linguistics.Bwana yule hatathubutu kuongea na balozi wakaelewana. Tatizo kiingereza! PhD zingine ni aibu.
Kuna watu hawaelewi hilo.Yaani hizi picha zinafurahisha sana. Jembe Magufuli kasafisha njia. Tanzania hatuna corona.
Cheki wanavyo tabasamu no mask no unnecessary distance
Hamkuwaona juzi Ikulu, Dar-es-Salaam? Wao ndio wanakwenda na bado watakwenda zaidi.
Hakuna watu wanaozikwa usiku huko ulipo?Unaposema Tamko juu ya Mikutano! Misururu. Yule mwingine yeye anamisururu ya panya au! Korona si alishasema hakuna wewe unaitoa wapi?!
Kwani ni PhD ya lugha?Bwana yule hatathubutu kuongea na balozi wakaelewana. Tatizo kiingereza! PhD zingine ni aibu.
Huyo ni balozi Jiwe ni Rais unadhani nani atakaetafuta mkalimani?Jiwe lazima aende na mkalimani hapo