Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Hatimaye Chadema wamefuata nyayo za CCM na sasa wamekodi chopa itakayotumiwa na Tundu Lisu.

Wajumbe wengine wa timu ya kampeni wataendelea kutumia usafiri wa magari wakiwemo akina shehe Ponda.
Ikumbukwe zimebakia siku 10 tu kabla ya siku ya uchaguzi.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna wakati nakuhurumia kuona unavyo umia kuliko hata Polepole au Bashiru, uchungu ulionao kwa jinsi CCM inavyo kula za USO unsjionyesha wazi.
Pole sana, lichama wameliharibu hao mabedui watatu.
 
Hahahaha Unajua Nyie VYADEMA ni washamba Sana Tangu lini Ngombe Akanenepa Siku ya Mnada ...Mliwaambie watu Wagome kuhakiki
taarifa zao kwenye daftari LA kupiga kura, leo mnatumia Chopa kushawishi wapiga Kura Wa CCM wawapigie Nyie😂🤣😂🤣😂 Hopeless Humans Being.....

Mnaawambia Madenge ni Maendelo ya Vitu... Ila ili Muwafikie Wapiga Kura Mnatumia Vitu (chopa)😅😅😅 Hapa wenye akili kama sisi lazima tuwashangae

.... Ila Mapoyoyo na Mambumbu ya BAVICHA lazima Yashangalie. Tundu Lisu hajitambui Kabisa Uzuri wenye Akili Tushamfahamu Hata kuwa na Chake nchiii hii Maana Wahuni huwa hawajiandikishi.

ila wao ni Kushangilia na Kusukuma Magari ya WAHUNI wenzao.

HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI
Wewe zuzu acha ufala wako kwa haya ulioandika hapa ndiyo yanakuharalisha kuolewa na polepole? wewe ndiyo muhini unafanya uhuni upewe uteuzi matokeo yake utapata HIV na uteuzi utapewa ukiwa kaburini umezikwa, mbumbumbu mapoyoyo ni uvccm kutafuna pesa za chama kwa kazi zisizo na tija matokeo yake mmezidi kuiteketeza ccm yenu ilyojaa washamba wajinga wa kutupwa
 
Kwa siku 9, Mikutano 450

Hiyo ni mikutano 50 kwa siku

Sijui hii ni sawa na na sekunde ngapi kwa kila mkutano[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sayansi mama D , mikutano ya Lissu haina mtiririko wa ngonjera kisha wasanii na nani sijui.
Yeye zipo sehemu anasalimia tuu na hazizidi dakika 15 watu wanapata ujumbe anasepa.
 
Tundu Lissu anazidi kunishawishi kwa sera zake nzuri kumhusu mwananchi na Taifa kwa ujumla. Hakika Tanzania mpya yenye maendeleo ya kweli na watu wenye mapesa inakuja. Kura yangu kwa Lissu na ushindi wake uko wazi. Tukutane 28/10/2020 kwenye vituo vya kupigia kura
Mkuu mapesa sio issue. Issue ni uhuru wa mtu mmoja mmoja. Yaani kutoingiliana kwenye privacy zetu. Leo hii hakuna jukwaa la wakubwa kisa tu watu wameamua kusema hatutaki kuona hiki. Sasa kuna uhuru gani wakati walioko huko ni watu wanaojielewa na ni 18+ aged?

Huo ni mfano wa vitu vidogo ambavyo kulikua hakuna haja ya serikali kupambana navyo wakati kuna vingi tu inatakiwa kuvikamilisha
 
Mkuu mapesa sio issue. Issue ni uhuru wa mtu mmoja mmoja. Yaani kutoingiliana kwenye privacy zetu. Leo hii hakuna jukwaa la wakubwa kisa tu watu wameamua kusema hatutaki kuona hiki. Sasa kuna uhuru gani wakati walioko huko ni watu wanaojielewa na ni 18+ aged?

Huo ni mfano wa vitu vidogo ambavyo kulikua hakuna haja ya serikali kupambana navyo wakati kuna vingi tu inatakiwa kuvikamilisha
Penye haki ndipo penye uhuru pasipo na haki ndipo ilipo CCM kuwainea watu
 
Wakuu, jana niliumiza kichwa sana ni jinsi gani kesho tarehe 19 octoba Lissu ataweza kufanya mikutano sita kwa siku hiyo moja kuanzia Manyara mpaka Moshi mjini kisha aende Pemba.
Jibu hili hapa. Sasa ni rasmi kamanda anaanza safari ya Chopa. Tukutane angani.

Kwa takribani siku tisa zijazo Tundu Lissu kwa kutumia Chopa ametangaza rasmi kuwa atafanya mikutano 450. Kila lakheri mbeba maono!
View attachment 1604099View attachment 1604100

View attachment 1604105
Mwenyewe niliumiza mno Kichwa
 
Hatimaye Chadema wamefuata nyayo za CCM na sasa wamekodi chopa itakayotumiwa na Tundu Lisu.

Wajumbe wengine wa timu ya kampeni wataendelea kutumia usafiri wa magari wakiwemo akina shehe Ponda.
Ikumbukwe zimebakia siku 10 tu kabla ya siku ya uchaguzi.

Maendeleo hayana vyama!
Nyayo za CCM-uongo mchana kweupe. Yohana Mbatizaji naona unapoteza kumbukumbu au unajitoa ufahamu sijui lipi ni lipi.
 
Hatimaye Chadema wamefuata nyayo za CCM na sasa wamekodi chopa itakayotumiwa na Tundu Lisu.

Wajumbe wengine wa timu ya kampeni wataendelea kutumia usafiri wa magari wakiwemo akina shehe Ponda.
Ikumbukwe zimebakia siku 10 tu kabla ya siku ya uchaguzi.

Maendeleo hayana vyama!
Ujinga wako aibu yako
 
Tetesi : Pole pole na Bashiru wamekalia kuti kavu kiranja kafura sana.....
Nilikua naongea na mlinzi mmoja wa mzee nasikia wanamwita JPM mzee; wanamlaumu sana Bashiru kua ni boya sana na ndo chanzo cha uminyaji wa uhuru kwa Watanzania.

Kibaya zaidi ni hawa watoto waliotoka jkt na kukusanywa hapo Kimbiji wanaandaliwa kwa ajili ya fujo za uchaguzi. Kwa wale wazazi wenye watoto wao wanayo nafasi japo na wao hawafurahii.
NIMESIMULIWA TU NA WAPENDA AMANI.
 
Nilikua naongea na mlinzi mmoja wa mzee nasikia wanamwita JPM mzee; wanamlaumu sana Bashiru kua ni boya sana na ndo chanzo cha uminyaji wa uhuru kwa Watanzania.

Kibaya zaidi ni hawa watoto waliotoka jkt na kukusanywa hapo Kimbiji wanaandaliwa kwa ajili ya fujo za uchaguzi. Kwa wale wazazi wenye watoto wao wanayo nafasi japo na wao hawafurahii.
NIMESIMULIWA TU NA WAPENDA AMANI.
Asante sana Mkuu
 
Leo Babati Mjini.

Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu kuanzia leo Oktoba 18, 2020 ataanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Chanzo: BAVICHA TAIFA

View attachment 1604108

View attachment 1604090

Asanteni Babati

Tukutane 3010 kujipongeza...

Kungeku
Leo Babati Mjini.

Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu kuanzia leo Oktoba 18, 2020 ataanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Chanzo: BAVICHA TAIFA

View attachment 1604108

View attachment 1604090

Asanteni Babati

Tukutane 3010 kujipongeza...
Kungekuwa na Chopa angalau 2 za aina moja kuruka pamoja ingekuwa Tami zaidi kwa usalama wa rais wetu mtarajiwa.

CDM fikirieni hili wabaya wetu wanapeana majengo. Lissu anaiweka mipango hiyo kuwa haramu.

Hawawezi kukubali kutema yao kirahisi rahisi.
 
Back
Top Bottom