Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Kuna wakati nakuhurumia kuona unavyo umia kuliko hata Polepole au Bashiru, uchungu ulionao kwa jinsi CCM inavyo kula za USO unsjionyesha wazi.
Pole sana, lichama wameliharibu hao mabedui watatu.
 
Wewe zuzu acha ufala wako kwa haya ulioandika hapa ndiyo yanakuharalisha kuolewa na polepole? wewe ndiyo muhini unafanya uhuni upewe uteuzi matokeo yake utapata HIV na uteuzi utapewa ukiwa kaburini umezikwa, mbumbumbu mapoyoyo ni uvccm kutafuna pesa za chama kwa kazi zisizo na tija matokeo yake mmezidi kuiteketeza ccm yenu ilyojaa washamba wajinga wa kutupwa
 
Kwa siku 9, Mikutano 450

Hiyo ni mikutano 50 kwa siku

Sijui hii ni sawa na na sekunde ngapi kwa kila mkutano[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sayansi mama D , mikutano ya Lissu haina mtiririko wa ngonjera kisha wasanii na nani sijui.
Yeye zipo sehemu anasalimia tuu na hazizidi dakika 15 watu wanapata ujumbe anasepa.
 
Mkuu mapesa sio issue. Issue ni uhuru wa mtu mmoja mmoja. Yaani kutoingiliana kwenye privacy zetu. Leo hii hakuna jukwaa la wakubwa kisa tu watu wameamua kusema hatutaki kuona hiki. Sasa kuna uhuru gani wakati walioko huko ni watu wanaojielewa na ni 18+ aged?

Huo ni mfano wa vitu vidogo ambavyo kulikua hakuna haja ya serikali kupambana navyo wakati kuna vingi tu inatakiwa kuvikamilisha
 
Penye haki ndipo penye uhuru pasipo na haki ndipo ilipo CCM kuwainea watu
 
Mwenyewe niliumiza mno Kichwa
 
Nyayo za CCM-uongo mchana kweupe. Yohana Mbatizaji naona unapoteza kumbukumbu au unajitoa ufahamu sijui lipi ni lipi.
 
Ujinga wako aibu yako
 
Tetesi : Pole pole na Bashiru wamekalia kuti kavu kiranja kafura sana.....
Nilikua naongea na mlinzi mmoja wa mzee nasikia wanamwita JPM mzee; wanamlaumu sana Bashiru kua ni boya sana na ndo chanzo cha uminyaji wa uhuru kwa Watanzania.

Kibaya zaidi ni hawa watoto waliotoka jkt na kukusanywa hapo Kimbiji wanaandaliwa kwa ajili ya fujo za uchaguzi. Kwa wale wazazi wenye watoto wao wanayo nafasi japo na wao hawafurahii.
NIMESIMULIWA TU NA WAPENDA AMANI.
 
Asante sana Mkuu
 

Kungeku
Kungekuwa na Chopa angalau 2 za aina moja kuruka pamoja ingekuwa Tami zaidi kwa usalama wa rais wetu mtarajiwa.

CDM fikirieni hili wabaya wetu wanapeana majengo. Lissu anaiweka mipango hiyo kuwa haramu.

Hawawezi kukubali kutema yao kirahisi rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…