Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Tundu Lissu inabidi awe makini sana na haya mambo ya chopa. Mimi huwa siyaamini kabisa haya. Wakifanya cha kufanya hapo hakuna kupona.
 
Hata mie nna wasiwasi kama kweli aliachwa salama! Wengine nasikia walisingiziwa ujambazi na kuuawa kama vibaka.
Kweli. Kuna uzi uliletwa huku ukielezea yule Ring leader alikoswakoswa na ajali tetesi ya kupangwa ila miguu hana. Wengine wakasema mara alikufa. Yaani story ni nyingi. Ila ninajua malipo ni hapa hapa dumiani tu. Damu ya huyu kijana haitaacha watu salama maana laana zitawaandama sana.
 
Acheni woga lisu atatumia chopa ,atafanya kampeni zake salama bila kudhurika, tazameni vizuri mkononi alichovaa tundu lisu ni kinga tosha kwa uhai wake wazee wa kinyaturu na kinyiramba wameshamuwekea kinga dhidi ya maadui zake.

Twende na lisu 2020.
Pamoja na kuwa mkatoliki na msomi mwanasheria bado anaamini katika ushirikina??
 
Kuna wakati nakuhurumia kuona unavyo umia kuliko hata Polepole au Bashiru, uchungu ulionao kwa jinsi CCM inavyo kula za USO unsjionyesha wazi.
Pole sana, lichama wameliharibu hao mabedui watatu.
Usiwalaumu sana mkuu,biblia inasema njia za Mungu hazichunguziki,wala nia ya Mungu.inawezekana wamewekwa hapo na Mungu ili wawe daraja kwa ukombozi Wa watu Wa Mungu.
Ndio maana kila wanachofanya kinashindikana.
Mungu anaenda kutukumboa kutoka katika utawala Wa farao,ili tukairithi nchi ya maziwa na asali.
 
Pamoja na kuwa mkatoliki na msomi mwanasheria bado anaamini katika ushirikina??
We unamsikiliza huyu mataga.tangu lini akaisemea mema chadema huyu taga.
Ila baada ya tar 28 atajiunga chadema ,kama we we taga mwenzake utakavyojiunga chadema baada ya mkuu wako kurejeshwa chato akafuge wale tausi alioiba ikulu ya magogoni.
 
Hongera sana Mkuu. Comments zako zimetulia. Sina la kuongeza.
 
Sishauri lissu kutumia helkopta kipindi hiki cha mwisho...
Hasa akienda huko kusini.

Huu ni mtego wa maisha yake.
Sijui kamshauri nani
 
...hii ni move kali sana....huyu mwamba kampeni manager wa Lissu ni kichwa smart sana...amewaweka chini kabisa kina bashiru na ccm yao....huyu mwamba ni wa kupongeza sana....
Bashiru na Polepole wameuwa ccm kwa sababu hawakuwa na uzoefu wowote kisiasa , wametegemea polisi kudhibiti Chadema bila kujali angalizo la Kikwete la mwaka 2012

 
Hahaha😂 😂

Ngoja kwanza kesho nipige ramli ili nijue nani ambaye ataukwaa uraisi katika awamu hii
 
Joseph Toleho NYANDA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…