johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Majibu wanasubiri Chadema wenzake bwashee sasa kuna usumbufu gani hapo?Kusubiria majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu wanasubiri Chadema wenzake bwashee sasa kuna usumbufu gani hapo?Kusubiria majibu.
Tunasubiri majawabu bwashee!Yohana TULIA bwana [emoji23][emoji1787]
Unataka uliwe ?Lisu aje ajibu sakata la yeye kutaka ndoa za jinsia moja ?
Ulaji wa ruzuku chadema?
Kuwa kibaraka wa wazungu?
Kupanga mauaji ya watanzania kwa kuwaweka barabarani wakati yeye akijificha ?
USSR
Kumbe hauna akili hili lilikuwa tamko la serikaliLisu aje ajibu sakata la yeye kutaka ndoa za jinsia moja ?
Ulaji wa ruzuku chadema?
Kuwa kibaraka wa wazungu?
Kupanga mauaji ya watanzania kwa kuwaweka barabarani wakati yeye akijificha ?
USSR
Hapa ukwasi unamaanisha nini? Suala la pili kaa chini andikA vizuri ukipangilia hojaKILIO CHANGU NI KWENYE MADINI JE HUYU MTU ATAWEZA KUYALINDA ILI YALINUFAISHE TAIFA AM NOT HAPPY WITH MBOWE HAWATATUMIA FURSA NI KUJITAJIRISHA KUPINDUKIA? JE WATALINDAJE KURA ZAO? JE WATAWALINDAJE WALINDA KURA WAO ILI WASINUNULIWE NCHI NZIMA KUTOKANA NA HALI MBAYA MNO YA UKWASI WATU WALIYONAYO/ ENDAPO KURA ZITAIBWA NA WAKAJUA ZIMEIBWA NI NINI WATAFANYA ILI KUTWAA NCHI BILA KULETYA VURUGU WALA KUMWAGA DAMU/
Mlete na tingatinga lije lilime humu. Hata kama ni harrowTunasubiri majawabu bwashee!
Kwa taarifa yako majuzi alilala kwa Mwl NyerereHamucha munyampaa.
Vp uendeshaji wa serikal ya kimajimbo utakavyokuwa?maana unasema tuu utaunda serikal ya majimbo bila kutuambia itakuaje na n zip faida serikal hiyo kwa mie mwananchi wa ilongero ambaye ni mkulima wa mtama?
Kwenye bunge la katiba uliwah kumkashifu mwl.nyerere vp uliwah kufuta maneno yako au bado msimamo wako ni uleule?
Alienda kujipendekezaKwa taarifa yako majuzi alilala kwa Mwl Nyerere
Nani ameweza kulinda madiniKILIO CHANGU NI KWENYE MADINI JE HUYU MTU ATAWEZA KUYALINDA ILI YALINUFAISHE TAIFA AM NOT HAPPY WITH MBOWE HAWATATUMIA FURSA NI KUJITAJIRISHA KUPINDUKIA? JE WATALINDAJE KURA ZAO? JE WATAWALINDAJE WALINDA KURA WAO ILI WASINUNULIWE NCHI NZIMA KUTOKANA NA HALI MBAYA MNO YA UKWASI WATU WALIYONAYO/ ENDAPO KURA ZITAIBWA NA WAKAJUA ZIMEIBWA NI NINI WATAFANYA ILI KUTWAA NCHI BILA KULETYA VURUGU WALA KUMWAGA DAMU/
Alienda kujipendekeza
[emoji3577] kama wewe unavyojipendekeza maana hata mtoto wa Mh magufuli hawezi kufanya kazi ya kitumwa kama yakoAlienda kujipendekeza
Ile ofa ya kusuguliwa kule Mbeya bado Sugu hajaifanyia kazi, muhimu uwahi ukamsugueLisu anataka muwe mnafanyiana faraga kwa uhuru,
Kumbuka bado siku 13 tu ili sasa huyo mwana faraga arudi analia kwa beberu wake kule ubelgiji
serikali ya chato vp nayo inaenda je?Hamucha munyampaa.
Vp uendeshaji wa serikal ya kimajimbo utakavyokuwa?maana unasema tuu utaunda serikal ya majimbo bila kutuambia itakuaje na n zip faida serikal hiyo kwa mie mwananchi wa ilongero ambaye ni mkulima wa mtama?
Kwenye bunge la katiba uliwah kumkashifu mwl.nyerere vp uliwah kufuta maneno yako au bado msimamo wako ni uleule?