KWELI au una dream kidogo!?Jiandae tu ndugu kuwa mpinzani 2020-2025
Basi endeleeni kuwatii lakini wasiwatumie kuleta fujo.Hamna mtu anataka msaada wa mzungu wa chakula, ila tunawaunga mkono wazungu wanaokemea na kutaka haki itendeke. Kama taasisi zote za kimamlaka zimejiunga na ibilisi kunyima haki, ni bora wazungu watusaidie maana sisi hatuna silaha za kupambana na vyombo vya dola. Hicho kiburi cha Magufuli dhidi ya wazungu hata Nyerere alileta tukaishia kuvaa viraka. Tulipoamua kutii masharti ya wazungu tulikuwa tumeshakata pumzi. Itakuwa Magufuli aliyeshindwa kutoa ajira na kupandisha mishahara?
Hapo kuna tofauti gani na yule anayepumzisha rejeta kwa siku 8?Safi sana, ...
Endelea tu kupingana na wakati na uhalisiaKWELI au una dream kidogo!?
ni Leopold Mahona, alikwenda kufanya kampeni zake Kilimanjaro akasema chama chake kina muunga mkono Lyatonga Mrema ubunge. ni wale wale tu.hivi huyu mgombea urais wa NRA ni yupi? ni yule mama?
Mbona hayo malalamiko wameweka ya NRA pekee? Wao CCM wamelalamika nini, mbona hawaja andika malalamiko yao?? Hawa walikurupushwa. Ila najua TAL lazima aendelee.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi....
Mfuteni bwana. Msitishe watu hapa,vinafanywa vitwa vya maajapu Sana ,na naona mnabeti na amani ya nchi hii,we unafikili kikinuka upo salama na familia yako,Hali Kama hii lazima kupingwa na Kila mmoja anae litakia mema taifa hili,acheni kabisa wewe na tume yakoNa asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi,Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanupf.
Ile wataipiga kwenye teleconference au vp.!Wameogopa Ile tarehe 3 oct waliyotangaza wapinzani!
Ww huwa ni kilaza kweli kama jina lakoYou know what is next move will be atajifanya anataka kuingia kitaa kwa lazima.
CDM wasipomzuia NEC ipige chini wagombea wake wote, chama (kama taasisi) ndio kinabeba liability sio mgombea na rules za uchaguzi wamekubali wenyewe. Tuone kama wagombea CDM wote wapo tayari kupoteza ugali kisa fujo za Lissu.
(Sep 17, 2019)Labda anataka awe milionea . Zimbabwe wakati wa Mugabe ukitaka kununua mkate uwe na gunia la pesa. Ukinunua tiketi ya ndege uende na lori la noti .
Labda ndio anaona ndio maendeleo hayo
Afanye campaign za ustaarabu na sio kujifanya anatishia watu nyau.Ww huwa ni kilaza kweli kama jina lako
Imefika wakati wahutu wote nchini wasakwe warudishwe kwao BurundiTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi....
Vipi Lisu alisema barua inatakiwa imfikie yeye, unaona sasa wanaojua sheria wamemjibu?Sababu za uchaguzi kutokuwa huru na wa haki zinaongezeka.
ingieni tu mkuu, ila kuwa mwangalifu na wanyama wakali.Dawa ya hawa Jamaa ni kuingia Msituni.
Kinukisheni sasakabisa na Lissu keshasema hakitaeleweka safari hii.