Hata wangemfungia siku zote zilizobaki,Watanzania wameshamwelewa! Wameshamkubali kuwa ndiye mtu wao waliyekuwa wanamhitaji.
Ushaharibu kura hiyoKura yangu kwa Lissu,lije jua ije mvua!
Alafu we hujielew kbsa huwenda unaishi kwa baba akoNa asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi,Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanupf.
Every vote counts!Ushaharibu kura hiyo
The guy isnt fit to rule this country,he became the leader kwa bahati tuu due to power struggle between Membe and Lowassa nimtu aliye bebwa na chama but hakuwa na strategies hata ndani ya CCM to outclass rafki zake ili awe pa ballot paper alidandia ndiyo mana hana uwezo wakushinda kwenye ulingo wa siasa kama predecessors wake.hata kwa gun point cnt vote for your man.Mpigie Kura magufuli,Kama Kuna Cha kurekebishwa kitarekebishwa,
Unatakiwa umsome magu umelewe,his projects is for the benefit of the country
Hebu niambie your personal difference na yeye ni Nini????
Vote for magufuli.
1.Poor human rights recordAmesha rule for five year,ndo nataka uniambie your personal difference na yeye ni ipi? Ukingangania he isn't fit kwa reference ya how he became president kipindi kile unakuwa hujajibu swali?That was a power struggle within ccm akachomoza yeye with the will of God,na juzi hapa he won by 100%
Kuna kitu kinaitwa individual difference,he ruled with his own style
Whats your personal difference??
Vote for magufuli.
Is that the way you can clear me on range of issues presented to you so that l can vote for your party?? try to be logic in your thinking otherwise cant see any justifiable reason to change my mindYou have No personal difference.Oky
From your personal view,what's your rate by percentage % on human right record and Good governance.
Am in doubt of your IQ, do you justify the killings in the Middle East and Tanzania???...your a vagabond so pathetic.....how can l gauge someone who is very incompetent in the running the affairs of the state??afadhali niwe counted kwenye vote apathy ..I think its you who should be logical,
You have talked on "human rights record"
The USA have killed more than 1 million people in the middle East,very poor human right record
And your candidate have the guts to take a picture with the ambassador,then both of you preaching human rights record
I have asked you on the rates,you have ignored
Vote for magufuli.View attachment 1594585
Am not justifying any thing,umetaja Mambo mengi,ndo nimekuuliza how do you rate human rights record.
Maana ume generarize matukio mengi tofauti na hauna any personal difference.
Usipanic we niambie tu how do you rate human rights record kwa hiki kipindi Cha miaka mitano????????
Ukitaka niende in detail kwa Kila ulichotaja utanifanya niweke documents humu ,hizo documents Mimi sina
hahahahaTume waoga sana yaani. Baada ya Magufuli kwenda Likizo ya kujipangia siku 8, tume wameona na Tundu Lissu aende likizo ya lazima kwa siku saba. Moto hauzimwi kwa petrol.
Mtu kwenda mapumziko kila baada ya muda mfupi ilikua na maana gani?
na bado wakawa wanaimba mapambio "mitano tena"Alikua anaenda gereji
na bado wakawa wanaimba mapambio "mitano tena"