GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Sisi wakinga hatuogopi moto,Kwenye hizi biashara tuna maamuzi magumu sana ambayo wewe huwezi kuyafanya na hata ukiyafanya utakosa furaha maisha yako yote na unaweza ukaishia kuona maluwe luweMadhara ya kufanya hivyo ni nini?
Kwanini hawapo tayari? Mjadala wa nini? Madhara ya kuorodhesha maghala yenu ni yapi?
Mnaogopa moto?