Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Hivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
Bro kama jirani pana supu na chapati kula nalipa mimi.
 
Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya

Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa

1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo

Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani. Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA

Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo
 
Kwan mipakani ndio hazichajiwi kodi mkuu au ulitaka kusemaje sijakupata vema?!
Hiyo comment yangu ni jibu la comment nyingine. Na kuna kitu umekikwepa umechukua kipande chako wacha nikuulize hapa.

Muuza madawa yaliyotengenezwa Tanzania ambayo hayajapita bandarini na mipakani hastahili kulipa kodi? Ukikata kodi mpakani na bandarini analipaje yeye.

Ulishawahi vuka mipaka ukaona mianya ya kupita bila kukaguliwa. Kule Arusha, Kilimanjaro na Tanga kuna mamia ya kilomita za mpaka na Kenya ziko wazi watu wanavuka. Mpaka sio ile border post pekee. Sasa hawa watalipaje kodi mpakani.

Simaanishi nawapinga ila jenga hoja isiyo na mashaka msije onekana mnakwepa
 
Hivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
Huko kusumbuana ni neema kwa wafanyakazi wa Tra!! Ndipo wanapopatumia kuleta ubabaishaji kwa walipakodi ili wapate rushwa
Mambo yakinyoooka kama tech inavyoruhusu kuna watu watakufa njaa
 
Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya

Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa

1::TRA.
2::FIRE.
3::JIJI.
4:USAFI.
5::kodi ya store.
6: makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7::kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo


Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani.

Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA


Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo
Picha
 
Mfumo wa kulipa kodi ni wa kiwendawazimu ila huwezi lipa kodi kwa kutumia bandari na mipaka tu. Kwanza tunazungukwa na nchi nane na mipaka yote ina mianya ya magendo na kupita bila kukaguliwa. Na wakati huo kuna uzalishaji unafanyika ndani na mnyororo wa thamani unaongezeka
kurekebisha katika hili la kuzungukwa na nchi 8 halina shida ni baraka sasa tusifanye kuwa ni laana. Kazi ya nchi kuweka mifumo mipakani sio bidhaa imefika dukani ndio mnakaa nje kuvizia watu na huko viwandani ndio rahisi kabisa kukusanya kodi hakuna sababu yoyote ya haya kila changamoto kuna solution japo haiwezi kuziba 100%
 
Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya

Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa

1::TRA.
2::FIRE.
3::JIJI.
4:USAFI.
5::kodi ya store.
6: makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7::kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo


Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani.

Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA


Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo

BIla kugoma, maandamano na kukomaa nao hakutapatikana tija. Tangu lini mhuni au mlamba asali akawa na huruma?
 
Hao wafanyabiashara wameweza, kuna hawa waajiriwa wanaoadhibisha siku yao Mei Mosi. NSSF, NHIF, Compensation fund, Michango ya kuzikana n.k inakusanywa na kunenepesha wengine lakini inaitwa pesa ya mfanyakazi. Kafikishe miaka 60 uende kudai chako ndo utajua hujui.
 
Sijawahi na pengine sitakuja kuwahi kuelewa hizi kodi zinavyokatwa
Mzigo ukifika bandarini unatokutana na tra
Mzigo huohuo ukifika dukani unakutana tena na tra

Sasa najiulizaga yule tra wa bandarini ni tofauti na huyu wa dukani????
Na km wote ni TRA, hizi kodi za mara mbilimbili zinalenga nini????
Sasa hivi hadi store nayo wanataka waitandike kodi!
 
Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa

Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana

Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea

Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali

Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana

Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
Hakuna mantiki yoyote ya kupiga Kodi dukani tena unapiga Kodi stoo kwenye bidhaa zile zile. Huo ni wizi siyo kodi

Ingekuwa awamu ya 5 waandaaji wa mgomo wangetekwa jana kabla ya mgomo kuanza leo..
 
Kwa Taarifa yako BANDARINI ni mpakani, kwa hiyo huduma zote za kikodi zinazotolewa na TRA mipakani zinatolewa pia Bandarini
"Bandarini ni mpakani..." nani kakwambia hivyo? Wewe ukiona bandari pale Dar es Salaam, Mtwara na Tanga unaona ile ni mipaka. Ukitoka bandarini kuna exclusive economic zone ya Tanzania ina mamia ya kilomita majini, kule ndio kuna mpaka na international waters.

Alafu mpaka ni lazima upakane na nchi, pale Dar es Salaam bandari inapakana na nchi gani. Taratibu za kimamlaka hazibadilishi maana, mkoa wa ki-TANESCO haulifanyi eneo kuwa mkoa wa kiutawala wa TAMISEMI.

Hapo Kariakoo muuza furniture inavyotengeneza nchini atalipaje kodi kama mnataka walipishwe wanaotumia bandari na borders pekee?
This is a challenge kwenu, nishaona nchi wana mfumo mzuri sana wa kodi na unakata kodi ndani
 
Sababu za mgomo ni zipi?

Kama hawaitaki CCM nitajiunga nao mapema kuanzia kesho asubuhi, leo nimechelewa tu kwasababu sikuwa na taarifa mapema.

Kuna ubaya gani TRA kuwataka muorodheshe store zenu mnazohifadhia mali, wanataka wazifahamu ili wakazikague, kwasababu huko Kariakoo kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi.

Hata kama hizo kodi zinatumika hovyo serikalini, lakini niwapongeze hao wafanyabiashara kwa uthubutu wao.

Sio shida kuorodhesha shida ni kila mwezi wakati wewe ni duka sio kampuni huo muda utawezaje
 
Back
Top Bottom