Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Kuna vitu vya kijinga sana[emoji28]
Nilipe kodi ya store;
Najiuliza bidhaa zangu walitaka niziweke wap??
Nilipe Jiji;
Najiuliza kwa huduma ipi ambayo taipata isiyokuwa inatokana na kodi zingine nazolipa?
Nilipe 10% ya miamala;
Najiuliza zile tozo na kodi za miamala ni za serikali ipi kama sio hii hii?
Gari lilipiwe;
Unajiuliza wanataka nibebe kontena kichwani kupalaka mzigo store?
 
kurekebisha katika hili la kuzungukwa na nchi 8 halina shida ni baraka sasa tusifanye kuwa ni laana. Kazi ya nchi kuweka mifumo mipakani sio bidhaa imefika dukani ndio mnakaa nje kuvizia watu na huko viwandani ndio rahisi kabisa kukusanya kodi hakuna sababu yoyote ya haya kila changamoto kuna solution japo haiwezi kuziba 100%
Kwanini unasema kulipa kodi ni kuviziana, unaviziwa nini? Kama unalipa kodi sawasawa wanakuvizia kitu gani. Unataka wasije kukagua kwako unaficha nini?

Kwahiyo na wauza madawa muhimu wasiwe wanakaguliwa kwa sababu wanaviziwa. Wazalishaji viwandani wasiwe wanakaguliwa ubora kisa washapewa leseni hivyo wasiviziwe. Mahospitali binafsi yasiwe yanafanyiwa ukaguzi, watu wauziwe madawa yasiyo na ubora na madaktari wasio na vigezo kisa hospitali zisiviziwe.

Sheria ya kodi inasema kodi ikusanywe kila mnyororo wa thamani unapoongezeka. Na wewe unanunua kitu kwa 800, unakiuza kwa 1500 tiyari kuna thamani imeongezeka wanakuja kuchukua % kadhaa. Wakikusanya kodi kupitia mpakani na bandarini pekee Hyatt Regency, The Kilimanjaro italipaje kodi? Maana hainunui nyanya na kabeji nje, haipitishi nyama bandarini wala mpakani?

Nchi zenye mifumo mizuri ya kodi huwa zinavizia vizuri sana na ole wako ukutwe umekwepa kodi, jera nje nje.
 
Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa

Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana

Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea

Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali

Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana

Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
ChoiceVariable mambo ya dokta wa uchumi haya au siyo?

Taratibu nchi inaelekea shimoni
 
Hakuna mgomo usio na kikomo hapo🤣🤣kesho watafungua frem hizo,mark my words 🤣🤣
Kama umewahi kufanya biashara kipindi cha tech za efd , Vat and the likes kuna kipindi at your will unatamani kabisa ufunge biashara kwa hiyari. Ili upumzike na usumbufu wa Tra.
Halafu kariakoo kusimama kishughuli sio jambo dogo ati.
 
Kwanini unasema kulipa kodi ni kuviziana, unaviziwa nini? Kama unalipa kodi sawasawa wanakuvizia kitu gani. Unataka wasije kukagua kwako unaficha nini?

Kwahiyo na wauza madawa muhimu wasiwe wanakaguliwa kwa sababu wanaviziwa. Wazalishaji viwandani wasiwe wanakaguliwa ubora kisa washapewa leseni hivyo wasiviziwe. Mahospitali binafsi yasiwe yanafanyiwa ukaguzi, watu wauziwe madawa yasiyo na ubora na madaktari wasio na vigezo kisa hospitali zisiviziwe.

Sheria ya kodi inasema kodi ikusanywe kila mnyororo wa thamani unapoongezeka. Na wewe unanunua kitu kwa 800, unakiuza kwa 1500 tiyari kuna thamani imeongezeka wanakuja kuchukua % kadhaa. Wakikusanya kodi kupitia mpakani na bandarini pekee Hyatt Regency, The Kilimanjaro italipaje kodi? Maana hainunui nyanya na kabeji nje, haipitishi nyama bandarini wala mpakani?

Nchi zenye mifumo mizuri ya kodi huwa zinavizia vizuri sana na ole wako ukutwe umekwepa kodi, jera nje nje.
Punguza makasiriko
Kodi inayokadiriea na TRA ni kuwakomoa wafanyabiashara bila kujali sisi walaji.

Naunga mkono mgomo

Najua sasa wanasakwa viongozi wa mgomo kwa udi na uvumba ili wahasiwe kama walivyomfanyia unyama Ulimboka
 
Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa

Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana

Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea

Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali

Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana

Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
Kwa nini hamtaki kuonyesha na kuorodhesha stores zenu??
 
Back
Top Bottom