Ubungo pakifunguliwa hao wa Kariakoo watalea wajukuu huko BuzaTatizo la nchi yetu kila mtu mwizi,wakusanya kodi wezi na walipa kodi wezi halafu wanajifanya wanaonewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubungo pakifunguliwa hao wa Kariakoo watalea wajukuu huko BuzaTatizo la nchi yetu kila mtu mwizi,wakusanya kodi wezi na walipa kodi wezi halafu wanajifanya wanaonewa.
100hili neno naliona sana, ni nini?
Angalia hii ndezi inajiropokea tuKodi si ombi. Kama umechoka biashara achia wengine wafanye hizo biashara. Mazingira Ni wezeshi hapo kariakoo. Acheni kusumbua Viongozi
Ubabe hauwezi tatua jambo hili kamweNingefuta leseni. Ukitaka kuendelea , unaanza upya kupata tax clearance.
Kiwango chako cha ufahamu kimefika mwisho, Kwani kwani Tax clearance si ni bure, umeskia wamekwepa kodi ndio wakafunga maduka?Ningefuta leseni. Ukitaka kuendelea , unaanza upya kupata tax clearance.
Kamuulize Kasim Majaliwa na mwigulu wanayajua.Madai yao ya msingi ni yapi?
Mwezi uliopita walininyima tax clearance eti wananidai 300m malimbikizo tangu 2016 wakati kila mwaka napeleka hesabu zilizokaguliwa na wanapitisha kama faini nalipa na miaka yote sijawahi kunyimwa tax clearance. To cut the story short niliwapa documents za kila walichokuwa wanasema sijalipa na niliishia kuwalipa 950,000/- ndio deni. Hiki ulichosema ndio utaratibu mzuri hata mimi niliwaachia mhasibu wadili nae nilimwambia sitaenda tra kwasababu hakuna deni hapa.Uncle kashindwa kutafuta muhasibu akampa 2m akomae na TRA yeye aendelee na mambo yake ?mimi kwenye biashara yangu wananijua ni sheria kwa sheria ,utaalamu kwa utalaamu hawalambi hata 100 kila kitu kimenyooka.Sisi ndio wale wachache tuna enjoy VAT returns wengine kwa kutokujua na ubahili wanajua ni siasa za TRA ,ukiwa na mtaji wa 200m + usicheke na TRA na mahesabu , tafuta dogo mwenye CPA anayejua alichoisomea akakomae na TRA.
Kabla haijafungiwa kwa maombi ya CCM na wasanii.X generation
Machinga hana ubavu wa kufungua biasharaJana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
well said.Kamuulize Kasim Majaliwa na mwigulu wanayajua.
Wafanyi biashara hongereni sana,sikudhani hata siku moja kwamba mtanzania anaweza kufanya hili.Tumechelewa sana.Hata lini tutaneemesha watu wachache, huku wengine tukizama katika lindi la umaskini.Lazima tufike mahali katika umoja wetu tuseme inatosha,na nadhani wakati huo ni sasa.Kazi hii tusiwaachie wafanyabiashara peke yao,tuwaunge mkono.Hadi Sasa ni saa 2:24 asubuhi maduka mengi hayajafunguliwa.
Licha ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila, kuwasisitiza Wafanyabiashara wa Kariakoo kuendelea na shughuli zao kama kawaida, hadi Saa 9 Asubuhi Wafanyabiashara wengi wamefunga Biashara zao katika Mitaa ya Kariakoo, leo Juni 24, 2024
Awali, Chalamila akizungumzia taarifa za mgomo wa Wafanyabiashara wa #Kariakoo alisema "Yawezekana Wafanyabiashara wana Malalamiko ya dhati kabisa lakini Masuala ya mgomo yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja."
Taarifa ya mgomo ilianza kusambaa kupitia vipeperushi ambavyo havikuwa na jina la Mwandishi, Juni 22, 2024 na sababu zilizotajwa ni kupinga masuala ya Kodi Kandamizi.
========
Pia, soma
- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
- RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho
View attachment 3024302
View attachment 3024308
View attachment 3024309
View attachment 3024311
==============
Majira ya Saa 4:40 Asubuhi (Saa Nne Asubuhi)
View attachment 3024406
View attachment 3024407
Kuna maisha zaidi ya hizo siasa za kijinga unazozifikiria weweWafanyabiashara waepuke kutumika na upinzani kisiasa
Haitowasaidia bali kuwadidimiza kibiashara
Mapandikizi yakiongozwa na wasanii, wafanyabishara chawa kama akina mume wa jooo ndio vviongozi na wanakwamisha uhuru wa wafanyi biashara.Wafanyi biashara hongereni sana,sikudhani hata siku moja kwamba mtanzania anaweza kufanya hili.Tumechelewa sana.Hata lini tutaneemesha watu wachache, huku wengine tukizama katika lindi la umaskini.Lazima tufike mahali katika umoja wetu tuseme inatosha,na nadhani wakati huo ni sasa.Kazi hii tusiwaachie wafanyabiashara peke yao,tuwaunge mkono.
Kabisa, CCM ndani kuna wapinzani wengi an ndio hao wanaweka hozo kodi na tozo mbalimbali, CCM lazma iondokane nao.Wafanyabiashara waepuke kutumika na upinzani kisiasa
Haitowasaidia bali kuwadidimiza kibiashara
Wewe hunijui na mimi sikujui , unasemaje sijawahi kuuza hata miwa?Wew bwege hujawahi kuuza hata miwa kaaaa utulie usaidiwe na wenye utimamu Maan Akili yako Ni tegemezi
Unaweza ukafafanua inakuwaje upuuzi nikakuelewa?Mengine yana hoja mengine ni upuuzi kwamfano hiyo No.12
Nani amekudangsnya kuwa wafanyabiashara wa kariakoo hawalipi Kodi?Kodi si ombi. Kama umechoka biashara achia wengine wafanye hizo biashara. Mazingira Ni wezeshi hapo kariakoo. Acheni kusumbua Viongozi