johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ungefika hata form two ile Commerce inayofundishwa ingekusaidia 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi maana huna akili.Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe mana watanzani hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima. Huwa ni hand to mouth.
Ndio maana si rais, ngekuwa hivi ningekuwa vile, huwez kuwa leader with this type of mindsetMbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe mana watanzani hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima. Huwa ni hand to mouth.
Ao wanao miliki fremu nao wana maduka kwaiyo na wao wamegomaHao wafanyabiashara hawana lolote zaidi ya kutaka kukwepa kodi tu,nawashauri warudishe hizo fremu kwa wenyewe badala ya kuangaika na migomo isiyo na tija.
Unatumika mechanism gani kutafakari na kubwabwaja🙆Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe mana watanzani hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima. Huwa ni hand to mouth.
ushatoka kwa dada yako au unasubiri muachike woteMbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe mana watanzani hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima. Huwa ni hand to mouth.
Mengine yana hoja mengine ni upuuzi kwamfano hiyo No.12
Je, unayajua bayana madhara yatokanayo na migomo ya Wafanyabiashara wa Kariakoo hata mgomo wa siku moja tu??Unayajua madhara yake???Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.
Huwa ni hand to mouth.