Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
TRA walimtia uchizi uncle wangu na biashara ya 300m wakamdai kodi ya 700m. Mpaka leo anakesha bar tu. Pumbavu sana
Uncle kashindwa kutafuta muhasibu akampa 2m akomae na TRA yeye aendelee na mambo yake ?mimi kwenye biashara yangu wananijua ni sheria kwa sheria ,utaalamu kwa utalaamu hawalambi hata 100 kila kitu kimenyooka.Sisi ndio wale wachache tuna enjoy VAT returns wengine kwa kutokujua na ubahili wanajua ni siasa za TRA ,ukiwa na mtaji wa 200m + usicheke na TRA na mahesabu , tafuta dogo mwenye CPA anayejua alichoisomea akakomae na TRA.
 
Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.

Huwa ni hand to mouth.
Akili za kitumwa!!! Nchi hii Siyo ya watawala peke yao ni ya watanzania Milioni 65+
 
Mbaga

Kuvunja kufuli ni maneno yako na sio ya katiba. Hakuna mahala panasema kuvunja kufuli la serikali ni kosa la jinai.
Hivyo kauli yako inakosa nguvu na utetezi.

Kufunga biashara ya mtu pasipo uwepo wa mwenye mali ni kosa.
Neno la serikali ndio sheria.
 
Yamefungwa maduka ..... Nimemjibu aliyesema " wamachinga wamefungua maduka" ...acha ujuaji ...soma comment ya niliyemjibu..... Na wewe nakuuliza mmachinga ana fungua duka!??
Kaka punguza hasira za salary!... July Kuna uwezekano tukalipwa Kwa makundi
 
Ukifunga duka lako, ukaweka mgomo kuuza bidhaa zako ni nani anapata hasara?
Ni serikali au ni wewe mwenye duka?
Tanzania ni kubwa sana na maduka ni mengi sana, Kariakoo ni sehemu ndogo sana ya Tanzania.

Sisemi wafanyabiashara wasitoe malalamiko yao, lakini kuna namna bora ya kuwasilisha malalamiko na siyo kufunga duka.
Unajua kwa siku TRA wanaingiza kiasi gani kwa biashara ya Kariakoo pekee.
Unajua kwanini Kariakoo ni mkoa wa kikodi?
Unajua kariakoo inahudumia Tanzania kwa ukubwa gani?
Unajua Kariakoo inahudumia nchi ngapi zisizo na bandari?
 
Hakuna cha uzalendo hapo,wao wanatetea maslahi yao tu.
kwani unafikiri wanatetea maslahi yako?
Ili waweze kukuuzia wewe mlala hoi bidhaa kwa bei utakayomudu inabidi kodi uchwara zifutwe.
Bidhaa inanunuliwa 500 kodi 800 bado aweke gharama za usafiri bado na aweke faida yake akikuuzia wewe mlalahoi 2000 unalalamika unasema wanatetea maslahi yao.
 
Neno la serikali ndio sheria.
Neno la serikali lisilovunja katiba yake ni sheria, na si maneno ya mtu binafsi kama kuvunja kufuli la serikali ni kosa la jinai. haya ni maneno ya mtu na si serikali.

Uongozi unahitaji uvumilivu, akili nyingi, busara na hekima katika kuamua. Unaweza ukafikiri unatatua tatizo kumbe unaliongeza maradufu.
 
kwani unafikiri wanatetea maslahi yako?
Ili waweze kukuuzia wewe mlala hoi bidhaa kwa bei utakayomudu inabidi kodi uchwara zifutwe.
Bidhaa inanunuliwa 500 kodi 800 bado aweke gharama za usafiri bado na aweke faida yake akikuuzia wewe mlalahoi 2000 unalalamika unasema wanatetea maslahi yao.
Hakuna sehemu nimelalamika,acha kudandia hoja usizozielewa.
Mimi nanunua kitu kwa bei yoyote ili mradi nimeridhika na thamani halisi na kama ninaweza kumudu gharama husika ninachosema wafanyabiashara waache janjajanja ya kukwepa kodi huku wao wakiweka kodi hiyo kwenye bei ya bidhaa wanayomuuzia mteja.
 
Hakuna sehemu nimelalamika,acha kudandia hoja usizozielewa.
Mimi nanunua kitu kwa bei yoyote ili mradi nimeridhika na thamani halisi na kama ninaweza kumudu gharama husika ninachosema wafanyabiashara waache janjajanja ya kukwepa kodi huku wao wakiweka kodi hiyo kwenye bei ya bidhaa wanayomuuzia mteja.
Kama hulalamiki basi unalia, then acha kulia
 
Back
Top Bottom