Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Serikali kutokuwa serious ndiyo imeleta haya,Waziri mkuu aliunda tume,ile tume mpaka leo chali,na nikama wameshanunuliwa,huyo Mwenyekiti wa wafanyabiashara inasemekana ni swahiba mkubwa wa Majaliwa PM ,hana msaada wowote zaidi ya movement za twende na Samia,mara mitano tena badala ya kutatua changamoto za wafanyabiashara
 
Hao wafanyabiashara hawana lolote zaidi ya kutaka kukwepa kodi tu,nawashauri warudishe hizo fremu kwa wenyewe badala ya kuangaika na migomo isiyo na tija.
Unadhani kupata mtaji wa kufungua biashara Kariakoo ni rahisi?, watu wametoa kafara mama zao halafu unaleta uporaji wa mitaji ya watu kirahisi?
 
Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.

Huwa ni hand to mouth.
Ndio maana mtu kama wewe ukigombea nafasi yeyote ile hata mkeo atakupigia kura ya hapana!
 
IMG-20240604-WA0001.jpg
 
Jana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.

Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.

Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
Huo mgomo siyo wa Machinga ni wa wenye maduka,Machinga na wao wanachama chao
 
Unadhani kupata mtaji wa kufungua biashara Kariakoo ni rahisi?, watu wametoa kafara mama zao halafu unaleta uporaji wa mitaji ya watu kirahisi?
Ndiyo wakatoe kafara nyingine ili wawe wanapata pesa tu bila kulipa kodi,wao ukienda kununua kwao wanakutoza hadi hesabu ya kodi lakini badala ya kulipa TRA wanataka waile wao!
 
Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.

Huwa ni hand to mouth.
na ujinga huu unakuwaje rais, labda wa wajinga
 
Ndiyo wakatoe kafara nyingine ili wawe wanapata pesa tu bila kulipa kodi,wao ukienda kununua kwao wanakutoza hadi hesabu ya kodi lakini badala ya kulipa TRA wanataka waile wao!
Hakuna anayekataa kulipa kodi ila watu wanachokataa ni kodi kandamizi pekee.

Bidhaa unainunua 200 kodi 500, unadhani anayeumia ni mfanyabiashara pekee?.
Hapo mlaji ndo anaumia zaidi, hivyo hao jamaa ni wazalendo
 
Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.

Huwa ni hand to mouth.
Umasikini
Ujinga
Maradhi

Ila adui hatari zaidi ni umasikini, ukiminywa na kuwa masikini hapa hata Haki yako siku ukipewa utaona kama unasaidiwa ndomana uchawa unaongezeka na kujikomba kwa watawala
 
Back
Top Bottom