MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Wanaodhani nguvu ndio kila kitu, wawafuate wafanyabiashara home sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti wanakaa na kuzb njia ,😐🙂Jana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
Ni wazi hujui hata tozo la Luku ni kiasi gani endelea kuangalia tv kwenye kochi la shemeji yako.Kodi si ombi. Kama umechoka biashara achia wengine wafanye hizo biashara. Mazingira Ni wezeshi hapo kariakoo. Acheni kusumbua Viongozi
Sasa hao watafungua nini wakati wanatembeza na kupanga bidhaa barabarani?
Nipe mchanganuo wa kodi kwa kuingiza kontena la vitenge kutoka nje pale bandarini kwa kulinganisha na maeneo mengine kama Zanzibar, Kenya, Uganda na Zambia.Hakuna kitu kama hicho.
1. Mnataka kufanya biashara bila kulipa kodi? Uliona wapi?Ni wazi hujui hata tozo la Luku ni kiasi gani endelea kuangalia tv kwenye kochi la shemeji yako.
Kila mtu afe na chake mapemaaaaa😅Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
Hiyo utaamua wewe kama utaniweka wapi kama kwenye kulalamika au kulia ili mradi upate amani ndani ya nafsi yako,moja kati tatizo tulilo nalo baadhi ya binadamu ni kutopenda mtu mwingine kuwa na mtazamo tofauti na hoja yake au kile anachokiamini yeye,mara zote yeye hujiona kuwa ndiyo yupo sahihi.Kama hulalamiki basi unalia, then acha kulia
Unakuwa na kichwa kigumu mbona brother!?? Wakati najua muelewa kabisa Mimi sijajibu Kichwa Cha Uzi bali nimejibu comment ya mtu ..unafeli wapi dingii.??!.... Niliyemquote amesema wafanyabiashara wamefunga maduka lakini MACHINGA WAMEFUNGUA MADUKA hajasema MACHINGA WAMEFUNGUA BIASHARA ...amesema MACHINGA WAMEFUNGUA MADUKA ndio mzizi wa swali langu MACHINGA ANAFUNGUA DUKA KUANZIA LINI !?? DUKA GANI HILO LA MACHINGA !?? ..... Usiniwekee maneno mdomoni ambayo sijasema.... Sijaongelea kufungua BIASHARA ...naongelea MACHINGA KUFUNGUA DUKA ...MACHINGA YUPI HUYO ANAYEFUNGUA DUKA...NA WAPI HAPO KARIAKOOO MACHINGA MWENYE DUKA NIJE KUSHANGAA...... ambaye analipia TRA,service levy etc....
Jana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
Mimi sijawahi kufanya biashara ya hivyo vitenge hivyo kujua huo unaoita mchanganuo si rahisi lakini kwa akili za kawaida tu hilo jambo haliwezekani maana hakuna mfanyabiashara atakayekuwa tayari kuleta hiyo biashara nchini mwako lakini tambua nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki wana itifaki za kikodi hivyo hata kama nchi zitatofautiana katika viwango vya utozaji wa kodi lakini haiwezekani kutofautiana katika kiwango hiko.Nipe mchanganuo wa kodi kwa kuingiza kontena la vitenge kutoka nje pale bandarini kwa kulinganisha na maeneo mengine kama Zanzibar, Kenya, Uganda na Zambia.
Niwekee data siyo maneno ili twende sawa kwenye mdahalo huu.
Hadi Mo kagoma.Hadi Sasa ni saa 2:24 asubuhi maduka mengi hayajafunguliwa.
Licha ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila, kuwasisitiza Wafanyabiashara wa Kariakoo kuendelea na shughuli zao kama kawaida, hadi Saa 9 Asubuhi Wafanyabiashara wengi wamefunga Biashara zao katika Mitaa ya Kariakoo, leo Juni 24, 2024
Awali, Chalamila akizungumzia taarifa za mgomo wa Wafanyabiashara wa #Kariakoo alisema "Yawezekana Wafanyabiashara wana Malalamiko ya dhati kabisa lakini Masuala ya mgomo yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja."
Taarifa ya mgomo ilianza kusambaa kupitia vipeperushi ambavyo havikuwa na jina la Mwandishi, Juni 22, 2024 na sababu zilizotajwa ni kupinga masuala ya Kodi Kandamizi.
========
Pia, soma
- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
- RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho
View attachment 3024302
View attachment 3024308
View attachment 3024309
View attachment 3024311
==============
Majira ya Saa 4:40 Asubuhi (Saa Nne Asubuhi)
View attachment 3024406
View attachment 3024407
Kama haujawahi fanya usiwabishie wanaofanya, kaa uulize upate ukweli wa mambo ulivyoMimi sijawahi kufanya biashara ya hivyo vitenge hivyo kujua huo unaoita mchanganuo si rahisi lakini kwa akili za kawaida tu hilo jambo haliwezekani maana hakuna mfanyabiashara atakayekuwa tayari kuleta hiyo biashara nchini mwako lakini tambua nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki wana itifaki za kikodi hivyo hata kama nchi zitatofautiana katika viwango vya utozaji wa kodi lakini haiwezekani kutofautiana katika kiwango hiko.
Tanzania ni kubwa sana, kariakoo ni ndogo sana.Ukifunga duka lako, ukaweka mgomo kuuza bidhaa zako ni nani anapata hasara?
Ni serikali au ni wewe mwenye duka?
Tanzania ni kubwa sana na maduka ni mengi sana, Kariakoo ni sehemu ndogo sana ya Tanzania.
Sisemi wafanyabiashara wasitoe malalamiko yao, lakini kuna namna bora ya kuwasilisha malalamiko na siyo kufunga duka.
Weka ushahidi,usiandike tu maelezo utakavyo.Kama haujawahi fanya usiwabishie wanaofanya, kaa uulize upate ukweli wa mambo ulivyo