900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mda wowote tunakiwasha kama kenya hawa watawala waache madharau watatuelewa tuTayari Wabongo washaamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mda wowote tunakiwasha kama kenya hawa watawala waache madharau watatuelewa tuTayari Wabongo washaamka
Iuzwe mara ngapi?Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
😆😆😆😆Waalimu mnasubiri nini kugoma
Hawa wala hawakuwa na sababu ya kujifanya wajanja. Mitaji yao ni ya siku kwa siku, baada ya siku mbili wataishiwa products na watalazimika kuwatafuta wenye madukaKweli machinga wamefungua....mgomo huu hauwahusu.
Nipo K.Koo muda huu..
Machinga wana umoja wao...na kero zao.
Machinga hawana hata EFD...
Machinga hawalipi Service levy...
Machinga hawasumbuliwi na TRA...
Wamefungua na wanafanya biashara kama kawaida.
Walio funga hadi muda huu ni wamiliki wa maduka
Kodi wadhibiti huko viwandani na mipakani na bandariniMadai yao yana-manktiki sana
Sasa machinga anafungua duka !?? ....
Sasa machinga anafungua duka !?? ....
Lucas MwashambwaChawa wanasema biashara zinaendelea. Wanasema huo ni upotoshaji. Hakuna mgomo kabisa.
Mgomo wa maduka awahitaji wamachinga sababu wamachinga hawajui usumbufu wa TRANa hili ndio tatizo la watanzania.
"No matter who you with or where you're at, or where to
"There's always gon' be three little pigs livin' near you"
Joyner Lucas
Hata mwaka jana mgomo wa wafanyabiashara wamachinga hawakugomaJana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
WATANYOOKA TU NJAA SIYO KITU CHA MCHEZO MSALIMIE LISSU HUKO ALIKO SUMU HAIONJWITayari Wabongo washaamka