Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
DP WORLD watafuHii nchi tuuzeni tugawane hela!
Umeandika Kwa kurudia rekebishaJana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia