Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Ombi lako likubaliweNdo nashangaa mod wanafuta post yangu pasipo kujali wafute na ID basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombi lako likubaliweNdo nashangaa mod wanafuta post yangu pasipo kujali wafute na ID basi
Tuhamie LiberiaHii nchi tuuzeni tugawane hela!
ah wapi, Gen Z wa Bongo wako busy malojini kuunganisha vikojoleo+254 tusaidieni tuunganishe nguvu.
Hakika itapendezaOmbi lako likubaliwe
Kwanini Kila mara Watu wanapodai Haki na Kusikilizwa au Kudai Kupunguziwa Karaha zao kwa kutumia Njia ya Haki ya Mgomo au Maandamano..chadema mnachokifikiria vichwani mwenu ni machafuko kila kukicha
hovyo kabisa
Wakikaza mpaka sasa tano kamili itabidi mnisaidie nauli ya kurudi nyumbani!Daaah mawinga wamepoa tu hawaelewi dadekii, hii migomo hii.
Kuna watu leo wanalala njaa.
Mpaji Mungu hali ikoje kwa upande wako??
Wakupe ban ya kuanzia🤣Hakika itapendeza
Tuko mitaani na tutawajulisha kila kinachoendelea.
Je baada ya Mkwara wa Polisi na mipasho ya Chalamila hali ikoje?
PAMOJA TUNAJENGA TAIFA.
View attachment 3024305View attachment 3024306View attachment 3024307
Hawaungi mkono halafu wamegoma?!
Kumbe bado mnauza kwa kificho na tumekubaliana hakuna biashara!!?Wakikaza mpaka sasa tano kamili itabidi mnisaidie nauli ya kurudi nyumbani!
Sema mpaka saivi wamekaza frame baadhi zilizofunguliwa ni za mafundi simu....kama unahitaji mzigo unafata store Moja Kwa moja
congo .😂Tuhamie Liberia
Majinga kwelichadema mnachokifikiria vichwani mwenu ni machafuko kila kukicha
hovyo kabisa
Machinga wamefungua, maduka yote yamefungwa, hao Machinga hawana meno maana bidhaa wanachukua madukani.Robert
Tafuta machinga unayemjua muulize kafungua? Kama alikuambia, alikuambia kukufurahisha.
Hukuona zile siku tatu?
Halafu uende wapi, maana uliambiwa uhamie Burundi ukaloloma sana humu! Pumbavu!!!Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
Issue sio kuuza kwa kificho....Kuna wateja kutoka Congo huyo hajui mambo ya mgomo yy jioni anataka delivery note ndo akupe chako sasa utafanyaje?Kumbe bado mnauza kwa kificho na tumekubaliana hakuna biashara!!?
Kuna dalili za kufungua leo??
Kiongoz wa wabiznez wa kariakoo yule alivaa tshirt za 2025 na team yake?
Kiongozi wa wafanyabiashara ama kiongozi wa kkoo? Kuna Group la wafanyabiashara kkoo ndio Tangazo limetoka.Kiongozi wa wafañyabiashara wa Kariakoo lakini kakanusha.
Sasa hilo tangazo la kuwa kutakuwa na mgomo lilitolewa na nani?
Burkifaso 🤣congo .😂