Mwezi uliopita walininyima tax clearance eti wananidai 300m malimbikizo tangu 2016 wakati kila mwaka napeleka hesabu zilizokaguliwa na wanapitisha kama faini nalipa na miaka yote sijawahi kunyimwa tax clearance. To cut the story short niliwapa documents za kila walichokuwa wanasema sijalipa na niliishia kuwalipa 950,000/- ndio deni. Hiki ulichosema ndio utaratibu mzuri hata mimi niliwaachia mhasibu wadili nae nilimwambia sitaenda tra kwasababu hakuna deni hapa.
 
Machinga hana ubavu wa kufungua biashara
Kibarua hawezi kushindana na boss wake
 
Wafanyi biashara hongereni sana,sikudhani hata siku moja kwamba mtanzania anaweza kufanya hili.Tumechelewa sana.Hata lini tutaneemesha watu wachache, huku wengine tukizama katika lindi la umaskini.Lazima tufike mahali katika umoja wetu tuseme inatosha,na nadhani wakati huo ni sasa.Kazi hii tusiwaachie wafanyabiashara peke yao,tuwaunge mkono.
 
Mapandikizi yakiongozwa na wasanii, wafanyabishara chawa kama akina mume wa jooo ndio vviongozi na wanakwamisha uhuru wa wafanyi biashara.
 
Mengine yana hoja mengine ni upuuzi kwamfano hiyo No.12
Unaweza ukafafanua inakuwaje upuuzi nikakuelewa?

Kwa sababu Kariakoo pale mchina aliyetakiwa alete mzigo mkubwa auzie godown amlishe mzawa mwenye frame kwa bei za jumla ili apate afadhali ndiyo kwanza amekodi frem pembeni yake anamkimbiza kwa bei za store,kama haupo kwenye hii industry huwezi elewa kitu na ndicho kinachotusibu kuwa na viongozi wabovu mandondocha wasioelewa mambo mfano wako wewe
 
Kodi si ombi. Kama umechoka biashara achia wengine wafanye hizo biashara. Mazingira Ni wezeshi hapo kariakoo. Acheni kusumbua Viongozi
Nani amekudangsnya kuwa wafanyabiashara wa kariakoo hawalipi Kodi?

Mbona Kariakoo ndio sehemu ambayo TRA inakusanya Kodi nyingi Kwa wafanyabiashara kuliko sehemu nyingine yoyote katika nchi hii

Mkishashiba ugali wa Bure Kwa shemeji zenu mnakuwa kama mandezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…