Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mwigulu alipewa shit sana nashangaa kwanini hakutumbuliwa.Mwaka Jana watu waligoma na waziri mkuu alikuja, wewe upo zako KATAVI mambo ya kariakoo huyajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu alipewa shit sana nashangaa kwanini hakutumbuliwa.Mwaka Jana watu waligoma na waziri mkuu alikuja, wewe upo zako KATAVI mambo ya kariakoo huyajui
Macho yetu sasa ni kwa TZ sasa kenya imemaliza🙃Hii nchi hii daah 🤒
Let's wait for the celebration 😬😬Macho yetu sasa ni kwa TZ sasa kenya imemaliza🙃
Uzuri wetu Wa Tanzania maandamano yetu huwa sio ya fumo bari ni shinikizo la ushiriki wa umma na ndivyo serikali inaona kwa upana kabisa.Let's wait for the celebration 😬😬
Hahah, kakurupuka...kinaangaliwa kichwani ndugu yangu si title haha.Wewe Unamjibu hivyo PhD holder?
Ongeza tuweke mkuuu🙏Kuna ladha fulani naikosa nikisoma hayo madai. Kama kuna data hazijawekwa.
Na kupitia mgongo wa wafanyabiashara, nao wanaipinga Serikali, kwa kuwa hawapendezwi na sera za Serikali ila hawana jinsi.Wanajitingisha Kwa sababu Watumishi wa serikali ndio Wenye mitaji hapo Kariakoo 😂
kariakoo ni kariakoo..ooh!!Wajinga hao, ngoja soko la Ubungo likamilike, mchina analeta mzigo moja kwa moja, wafanyabiashara wanachukua bila udalali. Ni ujinga wa watu wa kariakoo kuwashawishi wafanyabiashara wa kigeni wasichukue risiti, baadae wakitoka nje ya kariakoo wanakamatwa, wakikamatwa hao wafanyabiashara wanawaruka. Pumbafu sana, na ndio inafanya wageni wakimbie
Serikali itengeneze karikoo zaidi ya nne hapo jijini, hii itaondoa hali ya monopoly kama ilivyo kwenye sukari.