MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

Hili tangazo nafikiri ni kwa wafanyabishara wanaolipa kodi
TRA ni wasumbufu sana na ukijaribu kuhoji unaambiwa funga biashara, kodi wanadai mara 2 ukiwaliza wanakwambia leta ushahidi, hivi kweli mtu unatunza risti ya 2018? eti ooh! toka mwaka huo hujawahi kulipa kodi ya mapato au VAT unawauliza mbona kila mwaka mnanipa Tax clearance?? jibu eti wao hawajui wanataka ushahidi, kama kweli computer zenu TRA hazitunzi kumbukumbu mbona tunapolipa hatuambiwi tulete rist wakati huo ili iwekwe kwenye file zenu? TRA ni wezi na kama sikosei inatafutwa hela ya kumiliki timu ya mpira si kwa unyanyasaji huu.Waziri wa fedha hela ya kumiliki timu ya mpira unaitoa wapi kama sio kuwaibia wananchi.
 
Nakupa hii...fanya utafiti then utarudi hapa...fanya tafiti hii gharama ya kontena la ft 40 mfano bidhaa iwe vitenge..kutoka china to Tanzania...hilo hilo kontena na bidhaa iwe hyo hyo kutokea China to Kenya au China to Zambia..
Kwa hivyo hayo ndio malalamiko yako.

Hivi unaelewa kwenye hilo kontena serikali inacho jali popote utakapomua kuliingizia Tanzania kuna CIF (ambazo kwa EAC) ni same rate mengine port charges (that has nothing with TRA).

Baada ya hapo TRA wanakudai VAT input charges (kwa gharama ya uzalishaji wa hizo bidhaa Tanzania) na wewe huko ulipo nunua unatakiwa urudushiwe VAT ya export charges.

Katika kuuza ni hesabu zako minus input tax kwenye bidhaa, weka profit margin zako na output tax (with vat account) uhitaji kuweka double taxation ya VAT.

Anyway wewe sababu yako kuandamana huko kariakoo ni hiyo au kuna nyingine.

Lipieni kodi, ni watu tu mnaamua kujifurahisha mnaonewa bila ya sababu za msingi; ukipekuwa ni ignorance za wafanyabiashara.

TRA waonevu haya, umeonewa vipi hakuna maelezo zaidi ya watu wasiotaka kulipa kodi.
 
Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.

Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.

Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.

Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.

----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa

View attachment 3023083
Mimi yangu nitafungua ole wake mtu anisogelee kwenye pesa sitaki ujinga
 
Kwa hivyo hayo ndio malalamiko yako.

Hivi unaelewa kwenye hilo kontena serikali inacho jali popote utakapomua kuliingizia Tanzania kuna CIF (ambazo kwa EAC) ni same rate mengine port charges (that has nothing with TRA).

Baada ya hapo TRA wanakudai VAT input charges (kwa gharama ya uzalishaji wa hizo bidhaa Tanzania) na wewe huko ulipo nunua unatakiwa urudushiwe VAT ya export charges.

Katika kuuza ni hesabu zako minus input tax kwenye bidhaa, weka profit margin zako na output tax (with vat account) uhitaji kuweka double taxation ya VAT.

Anyway wewe sababu yako kuandamana huko kariakoo ni hiyo au kuna nyingine.

Lipieni kodi, ni watu tu mnaamua kujifurahisha mnaonewa bila ya sababu za msingi; ukipekuwa ni ignorance za wafanyabiashara.

TRA waonevu haya, umeonewa vipi hakuna maelezo zaidi ya watu wasiotaka kulipa kodi.
Unaleta makaratasi kwenye uhalisia...sipo hapa kukufundisha...
 
Unaleta makaratasi kwenye uhalisia...sipo hapa kukufundisha...
Kumbuka mini sio mlalamikaji.

Ni wewe ndio umeshindwa kuonyesha shida ilipo ili serikali ikusaidie kama kweli kuna tatizo.

Kilichopo ni bendera fuata upepo.

Badała ya kutoa hoja za malalamiko unakuja na majigambo yakunipa elimu ambayo sijaimba.

Elimu gani ya kodi wewe ndio unajua.

Mwisho wa siku sio msukumo wa watu kutaka kuandamana.

Lipeni kodi ni takwa la kisheria kwenye biashara na ipo very fair kwa watu wenye mipango sahihi ya kibiashara.

Malalamiko sehemu kubwa ni uelewa mdogo tu wa walipa kodi.

Hakuna hoja humu ndani zaidi ya watu wasiotaka kulipa kodi kupanga mipango ya kuandamana tu bila ya sababu za msingi.

Kodi łazima ilipwe.
 
Kumbuka mini sio mlalamikaji.

Ni wewe ndio umeshindwa kuonyesha shida ilipo ili serikali ikusaidie kama kweli kuna tatizo.

Kilichopo ni bendera fuata upepo.

Badała ya kutoa hoja za malalamiko unakuja na majigambo yakunipa elimu ambayo sijaimba.

Elimu gani ya kodi wewe ndio unajua.

Mwisho wa siku sio msukumo wa watu kutaka kuandamana.

Lipeni kodi ni takwa la kisheria kwenye biashara na ipo very fair kwa watu wenye mipango sahihi ya kibiashara.

Malalamiko sehemu kubwa ni uelewa mdogo tu wa walipa kodi.

Hakuna hoja humu ndani zaidi ya watu wasiotaka kulipa kodi kupanga mipango ya kuandamana tu bila ya sababu za msingi.

Kodi łazima ilipwe.
 

Attachments

  • IMG-20240622-WA0134 (14).jpg
    IMG-20240622-WA0134 (14).jpg
    122.1 KB · Views: 3
Kumbuka mini sio mlalamikaji.

Ni wewe ndio umeshindwa kuonyesha shida ilipo ili serikali ikusaidie kama kweli kuna tatizo.

Kilichopo ni bendera fuata upepo.

Badała ya kutoa hoja za malalamiko unakuja na majigambo yakunipa elimu ambayo sijaimba.

Elimu gani ya kodi wewe ndio unajua.

Mwisho wa siku sio msukumo wa watu kutaka kuandamana.

Lipeni kodi ni takwa la kisheria kwenye biashara na ipo very fair kwa watu wenye mipango sahihi ya kibiashara.

Malalamiko sehemu kubwa ni uelewa mdogo tu wa walipa kodi.

Hakuna hoja humu ndani zaidi ya watu wasiotaka kulipa kodi kupanga mipango ya kuandamana tu bila ya sababu za msingi.

Kodi łazima ilipwe.
Ulalamike una nini? Sitakujibu tena..
 
Ulalamike una nini? Sitakujibu tena..
Mimi tena nishakuwa mlalamikaji?

Kama watu wenyewe mnaopanga maandamano ndio nyinyi. Kwanini waamasishaji wasikamatwe kwa kigezo cha ‘disturabance of peace’.

Maana hata hamjui mnalalamikia nini, hata hiyo serikali inatakiwa kuwasaidia nini kama waandamanaji wenye ndio watu wa sampuli yako.

Kodi ni takwa la kisheria, lipa kodi.
 
Kodi ya vat ni kubwa sana na ndio sababu ya migomo kila siku na ndio chaka la hao TRA kutajirika humo humo kama Kodi itapunguzwa hata hao tra maisha yao yatakuwa kama makundi mengine
Ebu tupeane elimu.
Nimenunua bidhaa za milioni moja.
Hyo milioni moja inakatwa kodi mara ngapi?
 
Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.

Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.

Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.

Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.

----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa

View attachment 3023083
wale chawa wa mama na ccm wako wapi inchi imemshinda maza, wananchi wanaikataa ccm kwa vitendo ni suala la mda tu
 
Wewe unayelala nyumbani na anayembana na hao askari wanaozuia mandamano nani muoga?...Watanzania waoga na washamba huwezi wafananisha na wakenya kwenye kudai haki zao.
Toka waanze kuandaman wamepata haki gani zaidi ya watu kufa??
 
Mimi ningeshiriki huo mgomo kwa hiari. Ila kwakuwa hapo mwisho mmesema kuna kikosi kazi as if ni lazima, sasa mimi nafungua nakaa na bunduki ndani, aje mtu nione.
 
Kikosi kazi alichounda waziri mkuu kikijumuisha wawakilishi wa wafañyabiashara kimefanya kazi gani?

Yule mama Bonge alikuwa anamsifia Samia mpaka anabubujikwa na machozi naye atagoma?

Haya mambo wanayaweza Wakenya tu.
 
Back
Top Bottom