Duuuh! Una akili mgando sana weweKuwa muislamu nimegundu ni UDHAIFU MKUBWA SANA AKILINI. WAISLAMU MIAKA YOTE DUNIA YOTE NI WALALAMISHI NA WANAPENDA KUONEWA HURUMA. KUJITUTUMUA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh! Una akili mgando sana weweKuwa muislamu nimegundu ni UDHAIFU MKUBWA SANA AKILINI. WAISLAMU MIAKA YOTE DUNIA YOTE NI WALALAMISHI NA WANAPENDA KUONEWA HURUMA. KUJITUTUMUA.
Duuuh! Una akili mgando sana weweKuwa muislamu nimegundu ni UDHAIFU MKUBWA SANA AKILINI. WAISLAMU MIAKA YOTE DUNIA YOTE NI WALALAMISHI NA WANAPENDA KUONEWA HURUMA. KUJITUTUMUA.
Mpaka sasa hivi ukinunua kitu chochote hapa kama unapanda ndege ukionyesha vitu na risiti zako pale Airport unapewa kadi ya Bank baada ya siku kadhaa unakutana na hela Tanzania unatoa bank yeyote ukinunua hivyo vitu unavyosema au gari ni mpaka uje ulipe kodi Tanzania unawatumia copy ya passport yako na malipo ya kitu ulichonunua ukirudi unapewa 15% ya VAT yako yote na inakua ni nyingi Watanzania hakuna kitu tunajua kuhusu VAT waliwahi kuweka VAT kwenye transit goods mpaka jamaa wakawa wanasema ina maana Tanzania hakuna hata vyuo Vikuu wawashauri hao wasiojua kitu Wazambia na na Wakongo wakakimbilia SA mpaka tulipotoa na kuwafata tena kuwaambia waje Ujinga ndio umejaa kwenye vichwa vyao yaani siku wakipata akili hili swala la Risiti wataachana nalo na pesa nyingi sana watapata ni vile Wamekaririshwa..Kuna wakati nilikuwa nanunua mizigo cash and carry na jumbo stores, ukija beitbridge unajaza fomu ya vat refund, na utapata, huku kwetu kariakoo anakatwa mzambia hana ririti ya vat ilhali tra hawana taratibu za kurudisha vat.
Hivi umekuja ofisin....nakuuzia bidhaa ya laki tatu...nakuambia kabisaa hii bidhaa ya laki tatu utalipia laki tatu na themanini na risiti yako itaandikwa hivyo hivyo...lakin kurahisisha biashara yangu hii bidhaa ya laki tatu nitakuuzia laki tatu tu na risiti itatoka ya laki mbili na themanini...utachagua kipi...ninyi wateja hamjui wafanya biashara wanakumbana na mikiki mikiki mingapi mpaka bidhaa inakufikia wewe final consumer...umewahi waza TRA kabla hata hujaanza operate biashara yako lakin wenyewe washakupigia makadirio ya kodi? Yan hata mlaji wa bidhaa zako humjui lakin wenyewe washakufanyia estimations....ushawah jiuliza kuwa kwa kawaida kodi hukatwa baada ya faida? Sasa ndio unaanza biashara hayo makadirio wanayo weka yanatoka kwenye faida ipi wakati ndio kwanza unaanza biashara?? Tz ndio sehemu ambayo ukianza kukua tu kibiashara utawakuta hawa wehu hawa hapa..,utafikiri mitaji walikutafutia...sipingi kulipa kodi lakin kuna namna kodi zinatumika vibaya pia namna ya utekelezaji wa kukusanya kodi utaratibu wake sio mzuri...unakuta officer wa TRA anataka aonekane boss yani aogopwe...hyo mind set vijana wameiweka sana kichwani...hata hiz service levy ni za kaz gan? Hivi kweli tumeshindwa buni kabisa vyanzo vingine vya mapato?? Kweli mtu anaweka bango la biashara kuchochea mzunguko wake...bado tna wanakuja kutoza ushuru wa bango ni akil au matope..?Ila tuongee ukweli.kuna sehemu wanakwepa kodi kushinda kariakoo?unanunua kitu cha million 3 wanakupa rising ya laki 3.aladu bado wanalalamika. Mnawalea sana.
Mmeanza kuleta habari za Udini hapaHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Ndio maana hata umeya walikutoa...hakuna aliye kataa kulipa kodi...ww mwenyewe tukiamua kuanika madudu yako hapa hili jukwaa utalikimbia..Lipa kodi ndugu ya biashara unayo fanya kwa mujibu wa sheria.
Uwezi jiamkia tu utaki lipa kodi kisa utaki kujiemelisha wala kuelewa elimu unayopewa kila siku.
TRA wana account yao rasmi ya kutoa elimu ya kodi JF amtaki kuitumia kupewa elimu.
Kuhamasisha watu kutolipa kodi ni uhaini unaostahili hatua za kisheria
(binafsi muhusika ningempeleka jela).
Kutotaka kujielimisha kuhusu mambo ya kodi aina maana ubembelezwe sheria ikufuata mkondo wake.
Lipa kodi kwa hiari, acha visingizio.
Tungemaliza la sukari kwanza.Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.
Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.
Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.
Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.
----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo
View attachment 3023083
Kaka mbona wafanyabiashara wa rangi nyeupe wanatoa risiti halali. Nenda kanda pale kwa msomali. Shida ipo kwa sisis ngozi nyeusi. Tunapenda janja janja. Wenzenu wanatoa risiti nzima nzima kwanini ninyi hamtoi. Haya sawa mnatoa risiti pungufu ba bado mnalalamika kodi kubwa🤣🤣🤣.yaani mtu kanunua kitu cha milioni 3 umempa risiti ya laki 3.lakini bado hapo hapo unaona hyo laki 3 kodi yake kubwa.badilikeniHivi umekuja ofisin....nakuuzia bidhaa ya laki tatu...nakuambia kabisaa hii bidhaa ya laki tatu utalipia laki tatu na themanini na risiti yako itaandikwa hivyo hivyo...lakin kurahisisha biashara yangu hii bidhaa ya laki tatu nitakuuzia laki tatu tu na risiti itatoka ya laki mbili na themanini...utachagua kipi...ninyi wateja hamjui wafanya biashara wanakumbana na mikiki mikiki mingapi mpaka bidhaa inakufikia wewe final consumer...umewahi waza TRA kabla hata hujaanza operate biashara yako lakin wenyewe washakupigia makadirio ya kodi? Yan hata mlaji wa bidhaa zako humjui lakin wenyewe washakufanyia estimations....ushawah jiuliza kuwa kwa kawaida kodi hukatwa baada ya faida? Sasa ndio unaanza biashara hayo makadirio wanayo weka yanatoka kwenye faida ipi wakati ndio kwanza unaanza biashara?? Tz ndio sehemu ambayo ukianza kukua tu kibiashara utawakuta hawa wehu hawa hapa..,utafikiri mitaji walikutafutia...sipingi kulipa kodi lakin kuna namna kodi zinatumika vibaya pia namna ya utekelezaji wa kukusanya kodi utaratibu wake sio mzuri...unakuta officer wa TRA anataka aonekane boss yani aogopwe...hyo mind set vijana wameiweka sana kichwani...hata hiz service levy ni za kaz gan? Hivi kweli tumeshindwa buni kabisa vyanzo vingine vya mapato?? Kweli mtu anaweka bango la biashara kuchochea mzunguko wake...bado tna wanakuja kutoza ushuru wa bango ni akil au matope..?
Hamna uhusiano na uislamu hapo,Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua k
Tatizo ww una deal na effects..inakubidi utafute chanzo...then ndio uje hapa...kodi zinalipwa haswa...Kaka mbona wafanyabiashara wa rangi nyeupe wanatoa risiti halali. Nenda kanda pale kwa msomali. Shida ipo kwa sisis ngozi nyeusi. Tunapenda janja janja. Wenzenu wanatoa risiti nzima nzima kwanini ninyi hamtoi. Haya sawa mnatoa risiti pungufu ba bado mnalalamika kodi kubwa🤣🤣🤣.yaani mtu kanunua kitu cha milioni 3 umempa risiti ya laki 3.lakini bado hapo hapo unaona hyo laki 3 kodi yake kubwa.badilikeni
Kaka kwani kile kinachokatwa kwenye risiti si ndicho kinajumuishwa chote.alafu mwisho wa mwaka wa kodi ndo unakwenda kulipa?Tatizo ww una deal na effects..inakubidi utafute chanzo...then ndio uje hapa...kodi zinalipwa haswa...
Mkuu kwa sukari bashe mtamuonea tuu...Tungemaliza la sukari kwanza.
Ujasema shida ya kodi hiko wapi.Ndio maana hata umeya walikutoa...hakuna aliye kataa kulipa kodi...ww mwenyewe tukiamua kuanika madudu yako hapa hili jukwaa utalikimbia..
Kama mnyonge Ben Saanane,Azory Gwanda na wengine.Mmeanza kuleta habari za Udini hapa
Nenda kwenye hayo maandamano uone hata masheikh wapo,,,, Mama nchi immemshinda full stop
Magufuli alikuwa chuma mtetezi wa wanyonge mazuri yake ni meengi sanaaaa
Ndiyo maana watu wanasema CCM na mashabiki wake ni watu wajinga kupindukia. Wewe na wajinga wenzako wa CCM mnaona solution ni kumleta mchina auze mizigo moja kwa moja. Kweli madaraka yamewapofusha mpaka mnadhani ninyi ndiyo wenye haki ya kuishi Tanzania tu. Kuna siku mtapata mnachokitafuta.Wajinga hao, ngoja soko la Ubungo likamilike, mchina analeta mzigo moja kwa moja, wafanyabiashara wanachukua bila udalali. Ni ujinga wa watu wa kariakoo kuwashawishi wafanyabiashara wa kigeni wasichukue risiti, baadae wakitoka nje ya kariakoo wanakamatwa, wakikamatwa hao wafanyabiashara wanawaruka. Pumbafu sana, na ndio inafanya wageni wakimbie
Serikali itengeneze karikoo zaidi ya nne hapo jijini, hii itaondoa hali ya monopoly kama ilivyo kwenye sukari.
Wananchi walikupuuza na mimi nakupuuza vile vile...biashara gani ushawah fanya wewe na ukafanikiwa?Ujasema shida ya kodi hiko wapi.
Hao wahuni wanao waamasisha kutolipa kodi wanavunja sheria (mshukuru huruma wa bi-tozo).
Vinginevyo kwa mamlaka ya TRA kupitia mamlaka ya ‘tax administration’ watu kama nyie msiotaka kujifunza hesabu za biashara zenu, kwa Sasa mshukuru huruma wa raisi.
Lipa kodi hesabu żako za hovyo bila ya kuzingatia finance bills (ya mwaka husika), employment laws na business rates za mahala ulipo hazina uhusiano na sera za nchi. Ni jukumu lako kuzielewa vinginevyo. .
Bila ya maelezo shida yako ni nini? serikari itakuchukulia wewe ni mkwepa kodi. Bahati nzuri hii ni serikali yakulea na kukuza biashara sema unakwazika vipi upewe elimu.
Serikali haipo kunyanyasa wafanya biashara ilal ipo kuwakuza wafanyabiashara hilo ndio lengo lake.
Njia moja wapo ya kukuza biashara ni kuwapa elimu ya kodi na namna ya kupiga hesabu sahihi za kibiashara sio mambo yenu ya kubuni, na kujadiliana based on simple costs. Baada ya hapo mnaanza malalamiko.
Kuhamasisha watu kutokulipa kodi kwa sababu za upumbavu zilizopo kwenye upumbavu wa vichwa vya viongozi weny sio suluhisho, Wakati TRA ipo mpaka ndani ya JF kwa sababu kujibu hoja tu.
Baada ya kukupa ukweli wa kodi kama unamaswali leta ujibiwe.
Sasa nakukaribisha kuuelezea umma jinsi unavyonijua, usiache kitu, Iła mimi sijui utani na wala sipendi mazoea kwa wanaonijua vizuri.
Lipa kodi, uwezi kuwa kila siku unapewa elimu kodi ni sheria ambayo utaki kuelewa halafu unalalamikia ignorance yako.
Kama ujifunzi kwa maneno, utajifunza kwa matendo (yote kwa ni kwa mujibu wa sheria hakuna uonevu).
Waliogopa viroba na wasiojulikana tu. Walikuwa na kero kibao!Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.